Uchaguzi 2020 Wanachama wa ACT-Wazalendo tunamtaka Kiongozi wa chama atupe maelezo ya hatma ya mgombea wetu wa Urais

Uchaguzi 2020 Wanachama wa ACT-Wazalendo tunamtaka Kiongozi wa chama atupe maelezo ya hatma ya mgombea wetu wa Urais

Mtukudzi

Senior Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
103
Reaction score
408
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
 
Mtukudzi ile Ijumaa iliyopita 7000 yangu alinichukulia nani? Maana kila ninayemuuliza simwelewi na wewe ulikuwepo ilikuwa unichukulie pesa ya bundle ya week. Tunapambana sana kwa ajili ya chama na kupokea matusi ila kwenye mshiko mnataka tena kutulalia.mimi nataka pesa yangu.
 
Mbona mnanishambulia? Kwani Zitto yuko wapi anipe majibu? ACT huku bara tumekwama
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Wewe sio ACT
Ila chakukushauri mpigie membe kura maana yupo kwenye ballot pepar.
Msaidie membe kwa hilo ila sisi wanaACT tunajua chama chetu kinahitaji nn
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Jinyonge tuu
 
ACT mmeshaambiwa mpigieni Lissu wa CHADEMA
na Membe kwake ni kusini, Mkuu keshasema hafiki huko Kampeni hizi kakaimisha,
kilichowakuta ni maendeleo hayana chama
 
Hakuna namna NEC wanaweza ingilia Kati maana hivi vyama ni kama vinacheza na akili yetu sisi wapiga kura.

Unatuambia unagombea Urais, mara unakimbilia Dubai mara hatukuoni tena majukwaani, hiki ni nini??
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Acha umbea wako
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Huyo Membe amefanyiwa uharamia mkubwa wa kisiasa.Haiwezekani mtu ajiandae kwa mbwembwe takriban miaka si chini ya mitatu tena na kwa tambo zake binafsi ,mara ooh niguse ninuke, mara mashabiki wake ooh twende na membe 2020 kachero m-bobezi .Yakaandikwa mengi sana na hawa hawa mawakala wa mtandaoni ambao sasa wapo kwa Lissu.Sasa kachero m-bobezi wenu ambaye hata hawezi kuwatambua wezi na malaghai wa kisiasa ni kachero kweli au huko nyuma alikuwa anabebwabebwa tu.
Yaani ukimuona Membe anaongea na kujifanya fasaha,smart,mzuri ,mweupe kumbe hana lolote wala chochote.Kazidiwa nguvu na malaghai.
Lakini kama yupo mtu aliyekula pesa kwa ajili ya kumtosa Membe ,basi malipo yake yatakuwa ni hapahapa duniani.
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.

Nilitaka kushangaa ww umekuwa lini ACT
 
Mbona mnanishambulia? Kwani Zitto yuko wapi anipe majibu? ACT huku bara tumekwama
Ndio maana tunashangaa tangu lini uko ACT, kama hata mahari alipo Kiongozi wako Zito upajui
 
Hakuna namna NEC wanaweza ingilia Kati maana hivi vyama ni kama vinacheza na akili yetu sisi wapiga kura.

Unatuambia unagombea Urais, mara unakimbilia Dubai mara hatukuoni tena majukwaani, hiki ni nini??

Kwani umelazimishwa kupiga kura
 
Back
Top Bottom