Uchaguzi 2020 Wanachama wa ACT-Wazalendo tunamtaka Kiongozi wa chama atupe maelezo ya hatma ya mgombea wetu wa Urais

Uchaguzi 2020 Wanachama wa ACT-Wazalendo tunamtaka Kiongozi wa chama atupe maelezo ya hatma ya mgombea wetu wa Urais

Mtukudzi ile Ijumaa iliyopita 7000 yangu alinichukulia nani? Maana kila ninayemuuliza simwelewi na wewe ulikuwepo ilikuwa unichukulie pesa ya bundle ya week. Tunapambana sana kwa ajili ya chama na kupokea matusi ila kwenye mshiko mnataka tena kutulalia.mimi nataka pesa yangu.
😂😂
 
Unalalamika kama umeshikiwa akili zako
Kwakua wakati anatangaza nia alituambia watanzania wote,

Basi hata kama kaamua kubwaga manyanga tuna haki ya kuambiwa pia.

Sio vyema kuchezea akili za wengine.
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Mbona umeandika utafikiri Wakudadavuwa ?
 
Hakuna namna NEC wanaweza ingilia Kati maana hivi vyama ni kama vinacheza na akili yetu sisi wapiga kura.

Unatuambia unagombea Urais, mara unakimbilia Dubai mara hatukuoni tena majukwaani, hiki ni nini??
Tunafanya nae mazungumzo, tumeshafika pazuri.
Ni mimi Mtumishi wako Bar-Shiluh Alyi
KATIBU MKUBWA
 
Mutungi au Sisty wanaweza ingilia kati,wakumbushe.
Hakuna namna NEC wanaweza ingilia Kati maana hivi vyama ni kama vinacheza na akili yetu sisi wapiga kura.

Unatuambia unagombea Urais, mara unakimbilia Dubai mara hatukuoni tena majukwaani, hiki ni nini??
 
Kwakua wakati anatangaza nia alituambia watanzania wote,

Basi hata kama kaamua kubwaga manyanga tuna haki ya kuambiwa pia.

Sio vyema kuchezea akili za wengine.

Kama ulichagua upande wake na unaona gafla hayupo kwenye mchakato basi siku ya kupiga kura kaa tu nyumbani
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Post yako haina mvuto kama Membe nwenyewe alivyolowa mithili ya bakuli la mrenda. ACT-Wazalendo wapo na Lissu kwenye Urais 2020.
 
Kuhusu uchaguzi, hii ndio Tweet ya mwisho ya Membe. Zitto anamuogopa sana huyu mzee na sasa amebaki kuongelea chini ya carpet
FF669B98-7E10-42B3-A8FE-3BB478CEBE21.jpeg
 
ACT - WAZALENDO, tunaenda na LiSSU bara, na MAALIM Zanzibar.
 
Mgombea Urais wa ACT ni Membe.wana ACT wote kura kwa Membe.aina maana uwe ACT alafu umpe kura wa chama kingine.
 
Ndugu, humu watu Wanataka kusikia unamtaja yule mgombea wa Mbowe otherwise utaonekana snitch tu. Mungu ibariki Tanzania.
Baada ya tarehe 28 wote hao pamoja na huyo mgombea wao wa Mbowe watakimbiana.
 
Uliza ACT wenzako tayari wanao muongozo kura za uraisi wampe nani, ungekuwa ACT usingeuliza hayo
 
Nyie tulieni Membe ni jasusi mbobezi, anajua siri zote za ushindi wa chaguzi za Tanzania. Alishasema ushindi haupatikani jukwaani, amezama nyuma ya pazia. Akiibuka ndio mtajua alikuwa hatanii !
 
Mtukudzi ile Ijumaa iliyopita 7000 yangu alinichukulia nani? Maana kila ninayemuuliza simwelewi na wewe ulikuwepo ilikuwa unichukulie pesa ya bundle ya week. Tunapambana sana kwa ajili ya chama na kupokea matusi ila kwenye mshiko mnataka tena kutulalia.mimi nataka pesa yangu.
😂😂😂pole mkuu alie chukua buku saba yako ni uyu ailia post huu utumbo mmi lilikuwepo nilimuona
 
Back
Top Bottom