Uchaguzi 2020 Wanachama wa ACT-Wazalendo tunamtaka Kiongozi wa chama atupe maelezo ya hatma ya mgombea wetu wa Urais

Uchaguzi 2020 Wanachama wa ACT-Wazalendo tunamtaka Kiongozi wa chama atupe maelezo ya hatma ya mgombea wetu wa Urais

Mtukudzi ile Ijumaa iliyopita 7000 yangu alinichukulia nani? Maana kila ninayemuuliza simwelewi na wewe ulikuwepo ilikuwa unichukulie pesa ya bundle ya week. Tunapambana sana kwa ajili ya chama na kupokea matusi ila kwenye mshiko mnataka tena kutulalia.mimi nataka pesa yangu.
Haya mambo ya buku saba kumbe kweli huwa mnalipwa hapo Lumumba!
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Huku ni Jamii Forum sio ACT
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.

Ulijiunga lini ACT wewe? Au siku ile mlipojiunga na jiwe?
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Huo ndio uamuzi sahihi mkuu,maendeleo hayana vyama chagua CCM...
 
na mpaka leo hujui ACT wameamua nini basi wewe ni maiti unaekwenda kama CCM.
 
Halafu wengi msiojua kinachoendelea mnakuwa ni wale mapandikizi ya CCM,sasa mnaadhirika mmeachwa njia ya panda.
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Hayakuhusu kwani wewe ni mccm.
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Fisiemu Gamba weeee
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Hakika wewe ni mmojawao wale wa Buku Saba
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Haya maswali si yanatakiwa kujibiwa na mgombea mwenyewe? Kwani kura si ni siri ya mtu, sasa wewe iweje uelekezwe na mtu mwingine?
 
Mgombea Urais wa ACT ni Membe. wana ACT wote kura kwa Membe. haina maana uwe ACT alafu umpe kura wa chama kingine.

Kwahiyo unataka kusemaje kwa Jiwe kuomba kura za wote na hata wasio na vyama?
 
Nyie ni wana CCM mmeona maji ya shingo mnakuja kujifanya mnaongea kama ACT. Tulieni dawa iingie. ACT wameshasema na Membe ameshasema anamuunga nani. Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Ahaaaaaaaaaa,du mmebanwa ipasavyo.
 
Kwahiyo unataka kusemaje kwa Jiwe kuomba kura za wote na hata wasio na vyama?
Soma hapo ulipo ni quote nimesema"wana ACT".
kumbuka mada ni wana"ACT.

mtu asie na chama anaweza kumpigia kura yeyote.
lakini mwanachama ulieshiba itikadi ni lazima upigie kura chama chako kwasababu:malengo makuu ya chama chochote cha siasa ni kushika hatamu,sasa chama chako kitashikaje hatamu ilhali unakinyima kura?
 
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.

Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.

Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.

Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.

Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Tulia gari limeisha shika mteremko wewe ccm kama mm usijifiche viongozi wajuu nawanachama wote wapenzi pia watu wamabadiliko wote wakataa ubaguzi namanyanyaso wote kura ni yeye aka lisu ndio mgombea mwenyenguvu anaeweza kuipiga ccm nashangaa wewe ni act wawapi jidanganye nikura yako tu ndio itaenda ccm lakini zafamilia yako watachagua uhuru haki namaendeleo yawatu
 
Back
Top Bottom