Haya mambo ya buku saba kumbe kweli huwa mnalipwa hapo Lumumba!Mtukudzi ile Ijumaa iliyopita 7000 yangu alinichukulia nani? Maana kila ninayemuuliza simwelewi na wewe ulikuwepo ilikuwa unichukulie pesa ya bundle ya week. Tunapambana sana kwa ajili ya chama na kupokea matusi ila kwenye mshiko mnataka tena kutulalia.mimi nataka pesa yangu.
Sema kwa sauti kubwa. HawajasikiaACT - WAZALENDO, tunaenda na LiSSU bara, na MAALIM Zanzibar.
Huku ni Jamii Forum sio ACTMpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Hii wana mahesabu wanaiita solving simultaneous equation by division method.Mgombea Urais wa ACT ni Membe.wana ACT wote kura kwa Membe.aina maana uwe ACT alafu umpe kura wa chama kingine.
Huo ndio uamuzi sahihi mkuu,maendeleo hayana vyama chagua CCM...Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Hayakuhusu kwani wewe ni mccm.Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Fisiemu Gamba weeeeMpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Hakika wewe ni mmojawao wale wa Buku SabaMpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Haya maswali si yanatakiwa kujibiwa na mgombea mwenyewe? Kwani kura si ni siri ya mtu, sasa wewe iweje uelekezwe na mtu mwingine?Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Mgombea Urais wa ACT ni Membe. wana ACT wote kura kwa Membe. haina maana uwe ACT alafu umpe kura wa chama kingine.
Ahaaaaaaaaaa,du mmebanwa ipasavyo.Mpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.
Soma hapo ulipo ni quote nimesema"wana ACT".Kwahiyo unataka kusemaje kwa Jiwe kuomba kura za wote na hata wasio na vyama?
Tulia gari limeisha shika mteremko wewe ccm kama mm usijifiche viongozi wajuu nawanachama wote wapenzi pia watu wamabadiliko wote wakataa ubaguzi namanyanyaso wote kura ni yeye aka lisu ndio mgombea mwenyenguvu anaeweza kuipiga ccm nashangaa wewe ni act wawapi jidanganye nikura yako tu ndio itaenda ccm lakini zafamilia yako watachagua uhuru haki namaendeleo yawatuMpaka sasa hatujui hatma ya chama chetu kwenye uchaguzi mkuu huu.
Siyo mgombea wetu, Mwenyekiti wetu wala kiongozi wa chama aliyetoka hadharani kutuambia tunafanyeje kwenye chumba cha kupiga kura za Urais takribani wiki mbili zijazo.
Mgombea wetu wa Urais haonekani popote na hakuna maelekezo yoyote rasmi juu ya ratiba yake ya kampeni.
Kwa huko Zanzibar tunaona akina Jussa wameamua kumpigia chapuo Bw. Lissu. Tunapata shida kujua nini hasa tufanye huku bara.
Lakini kwa kuwa Mgombea wa CCM anasisitiza kuwa Maendeleo hayana chama, basi wiki moja ijayo tutahamasishana kumpa huyo wa CCM kwa sababu tunachotaka sie ni maendeleo.