Dhalimu akitawala nchi huuguaTaarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki Chadema .
hajui katiba ya nchi weweTatizo ni kwamba watu tumekuwa wajinga kupitiliza,kujifanya mwanaharakati wakati wanaokutuma wapo nje,haya waliyempigania mwenyewe kashakimbilia ughaibuni.
Kawaacha mahabusu kashindwa kufanya mikakati ya kuwatoa
Halafu unalaumu watu,hatujui kuwa siasa ni kipaji na wote walioshindania viti hivyo wapo huru walioshindwa wametulia makwao.
Walioshinda hongera zao wakaijenge nchi Kama walivyotuaminisha,iwe kwa uongo au ukweli.
Lakin tusiokuwa na mtazamo wa mbali ndio tupo MAHABUSU.
Inauma sana lakin lazima tujitathimini na siasa za nchi hii.
Heri kuwa mlevi wa gongo kuliko kuwa shabiki wa siasa za kiafrika
Mkoa wa Dodoma sehemu kubwa ya waliowekwa ndani na kufunguliwa kesi ni wale ambao Walikuwa Wagombea au Viongozi au Wananchi wa Kata ambazo tulishinda na hatukutangazwa,pia kwa sehemu ni wale ambao wana misuli ya Kisiasa lakini pia idadi inazidi kuongezeka kila kukicha.Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki CHADEMA.
Kuna jitu j2 utakuta linapokea sakramenti ya meza ya bwana na macamera kibaoTaarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki CHADEMA.
Ukatili mkubwa snChadema wanafanyiwa uonevu sana, kwa hali hii wacha jumuia ya kimataifa iendelee kuwalaani wote wanaotenda hayo.
Zaidi ya elfu 10Chadema wanafanyiwa uonevu sana, kwa hali hii wacha jumuia ya kimataifa iendelee kuwalaani wote wanaotenda hayo.
HAO WATUHUMIWA NI MAGAIDI KABISA. TENA WAFUNGWE MIAKA MINGI SANA.Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki CHADEMA.
UsihukumuHuyu bwana ni shetani na mnafiki mkubwa. Halafu anataka aufiche ushetani wake kwenye kichaka cha dini.
Sisi sote ni wadhambi lakini siyo kwa ushetani huu wa huyu bwana. Unaua, unateka, unatesa, unapora kura, unafunga wasio na hatia, halafu unatakatisha ushetani wako kwa madhabahu ya Bwana.
Bwana Mungu wetu, nyumba yako siyo genge la watu kwenda kufichia uovu wao. Tunaomba uwaumbue, uwafedheheshe na uwaadhibu wale wote waitumiayo ama nyumba yako au neno lako kwa hadaa na huku mikono yao ikiwa imejaa damu za wanaouawa kwa amri zao.
Wewe Bwana hukawii, bali hujibu maombi yetu kwa wakati ufaao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo siyo lazima unielewe wewe mkuu wapo wenye akili zao wameelewa nilichoandika.Umeandika kijinga sana !
Afu mtu kwa urahisi kabisa anasema eti tuanze maridhiano kama Taifa. Unaanzaje kuzungumza kwa mazingira haya?Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki CHADEMA.
RPC wa Dodoma na RPC wa Singida majina yao yamo kwenye nyaraka zilizosogezwa kwenye mahakama ya uhalifuMkoa wa Dodoma sehemu kubwa ya waliowekwa ndani na kufunguliwa kesi ni wale ambao Walikuwa Wagombea au Viongozi au Wananchi wa Kata ambazo tulishinda na hatukutangazwa,pia kwa sehemu ni wale ambao wana misuli ya Kisiasa lakini pia idadi inazidi kuongezeka kila kukicha.
Hakika !Afu mtu kwa urahisi kabisa anasema eti tuanze maridhiano kama Taifa. Unaanzaje kuzungumza kwa mazingira haya?
Poleni sana makamada mlioko magelezani na wahanga wote wa uchaguzi.... u will soon be recognised!!
Mwabieni mwanasheria nguri Tundu Lisu aje awashughulikie maana walifanya makosa wakijua yupo bingwa wa sheria.Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki CHADEMA.
hajui katiba ya nchi weweiyo kila Jambo la kufuata eti kisa katiba inaruhusu.
Siyo kila katiba inachosema ni Cha kukifuatahajui katiba ya nchi wewe
Usisahau kila mmoja wetu atawajibika kwa MWENYEZI MUNGU peke yake. Fanya uliyoamrishwa NAYE. Usiangalie mwingine akakukwaza kutii amri za MUNGU. Siku ya Mungu unaifanyia wapi? Kuna maelezo sio kila mahali wala nyumbani. Na mengine. Je 10% ya zaka unajilipa mwenyewe? Kusaidia maskini ni tofauti na zaka ni kuwa na upendo kwa jirani.Nilishaacha kushiriki misa za makanisa tangu makanisa yalipogeuka kuwa maficho ya wanasiasa wahalifu
Haya Mungu anayasamehe kwa kuweza kutuepusha na alshababu. Mnajua hili jambo lilivyo. A NGALIA JIRANI YETU NA SASA MSUMBIJIHuyu bwana ni shetani na mnafiki mkubwa. Halafu anataka aufiche ushetani wake kwenye kichaka cha dini.
Sisi sote ni wadhambi lakini siyo kwa ushetani huu wa huyu bwana. Unaua, unateka, unatesa, unapora kura, unafunga wasio na hatia, halafu unatakatisha ushetani wako kwa madhabahu ya Bwana.
Bwana Mungu wetu, nyumba yako siyo genge la watu kwenda kufichia uovu wao. Tunaomba uwaumbue, uwafedheheshe na uwaadhibu wale wote waitumiayo ama nyumba yako au neno lako kwa hadaa na huku mikono yao ikiwa imejaa damu za wanaouawa kwa amri zao.
Wewe Bwana hukawii, bali hujibu maombi yetu kwa wakati ufaao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ilaani chechemiTaarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki CHADEMA.
Nilishaacha kushiriki misa za makanisa tangu makanisa yalipogeuka kuwa maficho ya wanasiasa wahalifu