Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Ndo maana nimeona mmeni PM nije nipokee ajabu nikaogopa
😂😂😂😂Ndo maana nimeona mmeni PM nije nipokee ajabu nikaogopa
Tuwakilishe vema..Aah! Bado, tunapiga mtama na ngano tu kwanza. 😂
Subiri mapichapichaMshakula?
Hakika, itabidi na Mimi Mwakani niwepo kwa list kwa kweli hahahahahaahNi jambo jema kuthamini wazalisha maudhui...
Mzee una connection, umeenda?Subiri mapichapicha
Hahahaha kuna tuzo ya mod mpiga banWatukumbuke na sisi wajelajela tunaopigwa ban za uonevu tupate tuzo za uvumilivu
SubiruMshakula?
JF sio mamlaka ya mapato 🏃🏿Hivi izi sio kodi zetu izi mnazokunywa uko?
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.
Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.
Majukwaa labda yapo 40, mnatoa kwa wadau 5, tuanzie hapo mkuu! Kabla sija comment mna upendeleo kwa masela wenu.Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.
Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.
Hafla ya utoaji tuzo kwa washindi wa Stories Of Change 2024, soma LIVE - Yanayojiri katika usiku wa kutoa zawadi kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024