Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza kujibu Vibaya SasaKwakweli nimekuwa nachangia positively tu humud,hata mtu akinitukana simjibu vibaya.
Sasa sijui nimo?
Sipo hivo mkuuAnza kujibu Vibaya Sasa
Was kidding NduguSipo hivo mkuu
Nimeelewa kakaWas kidding Ndugu
Na wenye mchango hasi pia watambulike 😀Mtuwekee hapa tuwajue wenye michango chanya
SubiruMshakula?
JF sio mamlaka ya mapato 🏃🏿Hivi izi sio kodi zetu izi mnazokunywa uko?
Mzee una connection, umeenda?
Sahivi uko wapi kwani....Kwakweli nimekuwa nachangia positively tu humud,hata mtu akinitukana simjibu vibaya.
Sasa sijui nimo?
Usijali kabisa.Tuwakilishe vema..
Umeona nywele hiyo lkn 🔥🔥🔥
Huyu hawezi kukosa😀😀Mzee una connection, umeenda?
Active huwa hanipendi ananilima Ban.
Kwanza unatakiwa upigwe ban na leo pia.Watukumbuke na sisi wajelajela tunaopigwa ban za uonevu tupate tuzo za uvumilivu