Hehehe ofsi kuu ya timu inataka kupigwa mnada Kwa kushindwa kulipa m.300 tu bado mnajisifia,!?ulitakiwa uwe Wa kwanza kuona aibu....!!Mikia malizeni mchakato wenu huu wa kuiuza timu yenu,baada ya muda mtakuja kusikia timu ya wananchi mpango tunaokuja nao ni zaidi ya huo wenu wa bln kwa 20 kwa mwaka
Acha wivu Wa kike,kachangishaneni kwanza mkalipe deni lenu traKweli mbumbumbu kazi mnayo. Eti tenda?
Mnunuzi tayari mna mkataba naye. Hiyo mikutano ni kuinidhinisha tu
Kanjibai Mo anachekelea taratibu
Mkumbuke Mbagala Market na Singida United. Atawatosa mbele ya safari akiona hesabu haziendi
Hamna unachokijua,kalinunue basi hilo jengoHehehe ofsi kuu ya timu inataka kupigwa mnada Kwa kushindwa kulipa m.300 tu bado mnajisifia,!?ulitakiwa uwe Wa kwanza kuona aibu....!!
Of course mmekakaa kimbwiga sana hamuwezi kuendana na modernization ya mnyamaYanga hatutaki upuuzi huo. Endeleeni kulumbana wenyewe huko huko matopeni
Lini mlianzisha kitu cha maana zaidi ya kuiga kwa Simba. Tunawabiri ntakuja tuYanga hatutaki upuuzi huo. Endeleeni kulumbana wenyewe huko huko matopeni
Yaani wewe usipopigwa ban naleft JF,umeandika sehemu za uzazi live halafu usipigwe ban.Hii ndio mijitu inayoturudisha nyuma hadi kwny masuala ya kitaifa jitathmini ikiwa ww ulizaliwa kambolo kidogo au kakuma kadogo lkn sa hv hadi Mkono unapita na mivuzi hihaa ndio mabadiliko hayo sasa unataka ss tuwe kama hao ccm wa yanga ambao hawapendi maendeleo,,,, tuachie mpira wetu nenda kwa wanemba wenzio yanga ndo bado wanang'ang'ania kukodisha timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga Bingwa mara 27 aige kwa Simba Bingwa mara 18?Lini mlianzisha kitu cha maana zaidi ya kuiga kwa Simba. Tunawabiri ntakuja tu
Itakuwa walipewa pilau na posho kwenye mkutano. Kazi yao ilikuwa kuitikia Ndiyo kila kitu. Huyo mmoja aliyejaribu kuleta hoja mbadala alizomewa na walioshiba pilauUna tatizo haiwezekani huo mfumo upitishwe na wote 99%
Mkuu acha unazi. Duniani kwa sasa mpira ni biashara mambo ya ridhaa yamepitwa. Wewe tu uko nyuma lakini baadhi ya Ndala wenzako hawawezi kukataaYanga Bingwa mara 27 aige kwa Simba Bingwa mara 18?
Tutakuja tofauti. Siyo kumkabidhi timu mtu kiurahisi namna hiyo.Mkuu acha unazi. Duniani kwa sasa mpira ni biashara mambo ya ridhaa yamepitwa. Wewe tu uko nyuma lakini baadhi ya Ndala wenzako hawawezi kukataa
Mko njiani tayari Simba imefungua njia
Kila kitu siyo ya kubisha mkuu walichokifanya simba ni cha maanaItakuwa walipewa pilau na posho kwenye mkutano. Kazi yao ilikuwa kuitikia Ndiyo kila kitu. Huyo mmoja aliyejaribu kuleta hoja mbadala alizomewa na walioshiba pilau
Idea nzuri lakini lakini namna ilivyofanywa ndiyo tatizo kwa siku za usoni. Nani kasema value ya Simba ni hiyo billion 20?Kila kitu siyo ya kubisha mkuu walichokifanya simba ni cha maana
Ni brand zinazojulikana lakini unaamini kuna matajiri waliotayari zaidi ya hiyo billion 20?Idea nzuri lakini lakini namna ilivyofanywa ndiyo tatizo kwa siku za usoni. Nani kasema value ya Simba ni hiyo billion 20?
Brand name za Yanga na Simba , ukiacha vitu vingine, zina value kiasi gani?
Hata kwenye matatizo yenu lazima mumtaje Yanga maana ndio mume na kama ilivyo ada kwa mke kutumia surname ya mume.Nenda Yanga, wao hawataki huu mfumo, mfumo uutakao utaukuta huko!
Watu wanashangilia kama vile shughuli imekwisha, muda ni mwalimu mzuriKweli mbumbumbu kazi mnayo. Eti tenda?
Mnunuzi tayari mna mkataba naye. Hiyo mikutano ni kuinidhinisha tu
Kanjibai Mo anachekelea taratibu
Mkumbuke Mbagala Market na Singida United. Atawatosa mbele ya safari akiona hesabu haziendi