RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Sku mkipigana vita na mkachinjana km kuku ndo mtajua hakuna haja ya ustarabu ktk maslai ya nchi
Kila mtu ananjia zake za kufikisha hoja na kwa mwanasiasa anaejitambua na kujielewa matusi na kutukana ni moja ya njia za kufikisha naona
Na km ww ni kiongozi utaki matusi na kutukanwa bas jua ujakomaa kisiasa na kifikla
Ata ktk siasa za ulaya na marekan tunaona wanasiasa wanatukanana
Kila mtu ananjia zake za kufikisha hoja na kwa mwanasiasa anaejitambua na kujielewa matusi na kutukana ni moja ya njia za kufikisha naona
Na km ww ni kiongozi utaki matusi na kutukanwa bas jua ujakomaa kisiasa na kifikla
Ata ktk siasa za ulaya na marekan tunaona wanasiasa wanatukanana