Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Na ndio ligi ya Tanzania itakaporudi kule kule Timu ndogo kuziomba simba na Yanga nauli.Siku azam wakilogwa copyright ya kuonyesha NBC premiere L. Ikaingia dstv au kwingine kokote,basi hapo ndiyo nafunga nao mkataba rasmi kulipia kifurushi.
Kuna tofauti media ikitangaza inaonyesha MECHI za ligi Fulani..
Na media ikisema inaonyesha LIGI ya nchi Fulani..
Rudia kusoma
42,000
Subiri miaka 8 ijayo ndo ufanye huo uamnuzi kwani Azam na TFF ni Hadi 2030Siku azam wakilogwa copyright ya kuonyesha NBC premiere L. Ikaingia dstv au kwingine kokote,basi hapo ndiyo nafunga nao mkataba rasmi kulipia kifurushi.
Hamna biashara pale matapeliWabongo mnalalamika Sana aisee. Ile Ni biashara ya mtu, USIMPANGIE! ukiona wahuni simple tu, ingia dstv au startimes
Azam wamesaidia kwa mengi, na kwa kuwa hawawezi kumfurahisha kila mtu we potezea tu, achana nao eiza ingia hizo kampuni zingine au anzisha ya kwako mkuu uwe na channels Mia 9 kama unahisi ni rahisi
Penda vya kwenu kijana vitu vyenu unaviita localWazee wa local content,ila very expensive na huu mgao wa umeme silipiii ng'oooooook,25 naenda kumpa mama yangu ale bata tuuuuu
Azam sports 4 itaongezwa soon, kaeni mkao wa kula burudaniPengine wataongeza Channel zingine.
Hivi kwanini TBC wasiwe na channel ya michezo tu, japo hata waoneshe ndondo cup, chandimu na umiseta?Wakuu Azam tv hivi karibuni imeanza uhuni ambao lazima ukemewe!
Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi kuu ya KENYA!
Uhuni/utapeli uko wapi?
Azam Wana channel tatu tu za michezo na Moja (zbc 2) Huwa wanaazima so tuseme jumla zipo 4..
Sasa uhuni unakuja siku za weekend ambapo ujerumani, ufaransa, Tanzania, na uarabuni na pengine huko Kenya Kuna mechi ambazo zipo ndani ya muda mmoja!
Basi hapo Azam wanaamua wao ni mechi Gani waonyeshe! Na ipi wasionyeshe!
Mbaya zaidi Kuna zile mechi 'kubwa' za siku utakuta hawaonyeshi kwa kuwa channels hazitoshi,,.
Nasema hivi
Huu ni uhuni na utapeli Azam, 25000 kwa mwezi ni kubwa sana punguzeni au ONGEZENI CHANNELS
Ili mkisema mnaonyesha ligi Fulani ni sisi watazamaji tuamue mechi ya kuangalia sio nyie mtuchagulie
********
MY TAKE
Azam watangaze kuwa wanaonyesha Badhi ya MECHI ZA LIGI FULANI
Wasiseme wanaonyesha LIGI YA NCHI Fulani..
Wakifanya hivi sitakuwa na kesi nao
Isingekuwa NBC league hichi king'amuz chao ningeshapiga kiberiti, hakina cha maana wala quality ya picha, channels za HD ni 3 tu nyingine picha hazina tofauti na TBCLeo game za Bundesliga hawaoneshi[emoji1787][emoji1787]
Hawa jamaa wababaishaji sana!
Dstv full shangwe hakuna uswahili uswahili....mambo buridan channels zote full HDIsingekuwa NBC league hichi king'amuz chao ningeshapiga kiberiti, hakina cha maana wala quality ya picha, channels za HD ni 3 tu nyingine picha hazina tofauti na TBC
Leo game za Bundesliga hawaoneshi[emoji1787][emoji1787]
Hawa jamaa wababaishaji sana!
Ila kuanzisha channel kwa ajili ya Sports tuu sio jambo dogo, imagine kufanya content za sports tuu Wakati tayari Azam wanajulikana kuwa ndo kazi zaoHivi kwanini TBC wasiwe na channel ya michezo tu, japo hata waoneshe ndondo cup, chandimu na umiseta?
Kuwategemea Azam pekee ndio tunaishia kupata tabu hizi.
kama saizi tunakula mechi ya Real madrid na las pamas wakati tunasubir mechi ya AngolaDstv full shangwe hakuna uswahili uswahili....mambo buridan channels zote full HD
Azam Media kuna shida kubwa ya viongozi wengi kukosa weledi na dira ya wapi wanataka taasisi hiyo kuelekea.Wakuu Azam tv hivi karibuni imeanza uhuni ambao lazima ukemewe!
Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi kuu ya KENYA!
Uhuni/utapeli uko wapi?
Azam Wana channel tatu tu za michezo na Moja (zbc 2) Huwa wanaazima so tuseme jumla zipo 4..
Sasa uhuni unakuja siku za weekend ambapo ujerumani, ufaransa, Tanzania, na uarabuni na pengine huko Kenya Kuna mechi ambazo zipo ndani ya muda mmoja!
Basi hapo Azam wanaamua wao ni mechi Gani waonyeshe! Na ipi wasionyeshe!
Mbaya zaidi Kuna zile mechi 'kubwa' za siku utakuta hawaonyeshi kwa kuwa channels hazitoshi,,.
Nasema hivi
Huu ni uhuni na utapeli Azam, 25000 kwa mwezi ni kubwa sana punguzeni au ONGEZENI CHANNELS
Ili mkisema mnaonyesha ligi Fulani ni sisi watazamaji tuamue mechi ya kuangalia sio nyie mtuchagulie
********
MY TAKE
Azam watangaze kuwa wanaonyesha Badhi ya MECHI ZA LIGI FULANI
Wasiseme wanaonyesha LIGI YA NCHI Fulani..
Wakifanya hivi sitakuwa na kesi nao
Mkuu, mbona unasound kama vile Azam ni free channels. Hakuna ugumu wowote ikiwa hiyo channel haitakuwa ya bure.Ila kuanzisha channel kwa ajili ya Sports tuu sio jambo dogo, imagine kufanya content za sports tuu Wakati tayari Azam wanajulikana kuwa ndo kazi zao
Jifunze kuwa mnunuzi wa bidhaa ni sehemu ya hiyo biashara, maoni na malalamiko yake ni sehemu ya kuboresha huduma.Wabongo mnalalamika Sana aisee. Ile Ni biashara ya mtu, USIMPANGIE! ukiona wahuni simple tu, ingia dstv au startimes
Azam wamesaidia kwa mengi, na kwa kuwa hawawezi kumfurahisha kila mtu we potezea tu, achana nao eiza ingia hizo kampuni zingine au anzisha ya kwako mkuu uwe na channels Mia 9 kama unahisi ni rahisi