Wanachofanya AZAM TV kwenye mpira ni uhuni na utapeli, wadau amkeni

Siku azam wakilogwa copyright ya kuonyesha NBC premiere L. Ikaingia dstv au kwingine kokote,basi hapo ndiyo nafunga nao mkataba rasmi kulipia kifurushi.
Na ndio ligi ya Tanzania itakaporudi kule kule Timu ndogo kuziomba simba na Yanga nauli.
 
Kuna tofauti media ikitangaza inaonyesha MECHI za ligi Fulani..
Na media ikisema inaonyesha LIGI ya nchi Fulani..
Rudia kusoma

We nawe sio kila mwenye azam kachukua kwa ajili ya sport kuna watz wengi hata masuala ya mpira hawako nayo xx wataka chanel zote zionyeshe mpira tuh?
Mwingine atataka chanel nyingi za movie
Mwaingine ye ni mziki tuh...xo hao wote lazima ubalance chanel
 
Siku azam wakilogwa copyright ya kuonyesha NBC premiere L. Ikaingia dstv au kwingine kokote,basi hapo ndiyo nafunga nao mkataba rasmi kulipia kifurushi.
Subiri miaka 8 ijayo ndo ufanye huo uamnuzi kwani Azam na TFF ni Hadi 2030
 
Hamna biashara pale matapeli
 
Wazee wa local content,ila very expensive na huu mgao wa umeme silipiii ng'oooooook,25 naenda kumpa mama yangu ale bata tuuuuu
Penda vya kwenu kijana vitu vyenu unaviita local
Watu weusi bado tunatawaliwa na ujinga kwa kuwatumikia watu weupe yaani utumwa mamboleo
 
Hivi kwanini TBC wasiwe na channel ya michezo tu, japo hata waoneshe ndondo cup, chandimu na umiseta?
Kuwategemea Azam pekee ndio tunaishia kupata tabu hizi.
 
Mie hawa azam kisimbuzi chao nina miaka 5, sijawahi kukutumia, nilipo hama nilikiwcha huko huko.
 
Leo game za Bundesliga hawaoneshi[emoji1787][emoji1787]
Hawa jamaa wababaishaji sana!
 
Leo game za Bundesliga hawaoneshi[emoji1787][emoji1787]
Hawa jamaa wababaishaji sana!
Isingekuwa NBC league hichi king'amuz chao ningeshapiga kiberiti, hakina cha maana wala quality ya picha, channels za HD ni 3 tu nyingine picha hazina tofauti na TBC
 
Isingekuwa NBC league hichi king'amuz chao ningeshapiga kiberiti, hakina cha maana wala quality ya picha, channels za HD ni 3 tu nyingine picha hazina tofauti na TBC
Dstv full shangwe hakuna uswahili uswahili....mambo buridan channels zote full HD
 
Hivi kwanini TBC wasiwe na channel ya michezo tu, japo hata waoneshe ndondo cup, chandimu na umiseta?
Kuwategemea Azam pekee ndio tunaishia kupata tabu hizi.
Ila kuanzisha channel kwa ajili ya Sports tuu sio jambo dogo, imagine kufanya content za sports tuu Wakati tayari Azam wanajulikana kuwa ndo kazi zao
 
Azam Media kuna shida kubwa ya viongozi wengi kukosa weledi na dira ya wapi wanataka taasisi hiyo kuelekea.

Na shida kubwa ni aina ya ajira zao kuwa za kijamaa na urafiki, na sio uzoefu na taaluma. Ndiyo maana haya yanatokea.

Viongozi wengi pale hawafukuziki hata wafanye makosa ya namna gani, kwa sababu labda wameletwa na Yusuf.

Niliwahi kuzungumza na Tido wakati akiwa pale, nikimuuliza kukosa kwao kukua, kwa maana ya kuongeza channels za michezo.

Alisema kuwa, amekosa timu sahihi ya kukuza taasisi, kwani wakati wote akitoa maelekezo/ mwongozo huwa kuna utekelezaji hafifu.

Fikiria, baada ya kustaafu Tido kwa sasa Kahemele ndiyo kiongozi Mkuu pale, ila yeye yuko kwenye nafasi hiyo kwa kuwa walikuwa naye kwenye timu ya Azam kabla kuanza TV.

Hadi sasa wana miaka kumi tangu walipoanza, ila bado wana channels saba au nane tu, nyingine zote siyo zao. Kuna shida pale.

Ova
 
Jifunze kuwa mnunuzi wa bidhaa ni sehemu ya hiyo biashara, maoni na malalamiko yake ni sehemu ya kuboresha huduma.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…