REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Tatizo lao ni chanzo Cha uchafu wachafu Sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lao ni chanzo Cha uchafu wachafu Sana,
Nazungumzia sehemu kama mabanda ya chipsi, hoteli, soko la mayai yake. Utaishia kuuzia mtu mmoja mmoja, Japo hawana changamoto yoyote upande wa magonjaMimi nadhani soko unatengeneza tu mbona mimi nilinunua kwa mfugaji nikaanza kufuga
Na kwaambae hana akili kama mimi unamshauri nini ili apate kujua soko kuu la bata?Soko unatengeneza ni kutumia akili tu
Nazungumzia sehemu kama mabanda ya chipsi, hoteli, soko la mayai yake. Utaishia kuuzia mtu mmoja mmoja, Japo hawana changamoto yoyote upande wa magonja
Sawa mkuu, ila pungiza makasiriko kidogo..😊Inawezekana nikawa siwajui nafuga tu maana naona wanapenda maji
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂...we sema kweli🐒Inawezekana nikawa siwajui nafuga tu maana naona wanapenda maji
Na kwaambae hana akili kama mimi unamshauri nini ili apate kujua soko kuu la bata?
Nimecheka kweli alivyokureply😬Sawa mkuu, ila pungiza makasiriko kidogo..😊
Mkuu, unamaanisha nini hasa unapo sisitiza hili neno "akili" hapa kwenye soko la bataUmesahahu kitu kimoja tu akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...we sema kweli[emoji205]
"Maono"....🤔Cha kwanza kila unachofanya lazima uwe na maono nacho hutaona unayoyaona wala kuyasikia and usifuge tu sababu watu wanafuga hapo ndipo tunakosea ,
Mkuu, unamaanisha nini hasa unapo sisitiza hili neno "akili" hapa kwenye soko la bata
Mi najua bata maji wapatikana sehemu zenye maji huko always wanapenda kuogelea au muda mwingi hutumia kuwa kwa maji....ila hawa wa kufungwa skani nachojua hao ni bata tuNisaidie wanaitwaje kwa kiswahili hawa bata wa kienyeji achana na lugha za watu wengine
Sawa mkuu, ila pungiza makasiriko kidogo..[emoji4]
Basi sawa bwana mkubwa..🙏Duh kuelezea hapo mzee itachukua mda sana kwa wenye maono na hii kitu ama kitu chochote unachofanya lazima uwe unajua ntauzaje na ntauza wapi
Nimecheka kweli alivyokureply[emoji51]
😂😂😂ila we jamaa 🙌Afuu kawaida sana hiki kichwa hakipati moto chap namna hiyo hasa napojua nadeal na watanzania
Mi najua bata maji wapatikana sehemu zenye maji huko always wanapenda kuogelea au muda mwingi hutumia kuwa kwa maji....ila hawa wa kufungwa skani nachojua hao ni bata tu