Wanachokidharau we fanya. Kuna hawa bata maji aisee ni hatariii sana

Wanachokidharau we fanya. Kuna hawa bata maji aisee ni hatariii sana

Ninapenda spirit ya kuthubutu kufanya kitu,
Hata kama ni kidogo,
Wengi wanapesa ila they don't have any ongoing projects,
Hongera kwa kuthubutu,
Hao wanauliza masoko waambie,"chakula lazima kiliwe"
 
Okay sasa hao tunaofuga majumbani ndio bata
Maji na kosa kubwa tunalofanya ni kutowajengea sehemu za kuogelea hao wanapenda maji sana mda wote wanashinda kunywa na kuogelea
Oo sawa mkuu
 
Usiogope nakufunza tu bwana mdogo unajua kupitia statement ya mtu unaweza jikuta unajicheka badala ya kukicheka ulichokiona au kusikia !!
Niite Dada,maana kwa mwandiko wako tu waonekana ni mdogo wangu Mwenye akili🙌
 
Ushimen yamenigeuka😎
Huyu jamaa kaja na wazo zuri sana, binafsi nimejikuta natamani kujifunza kitu kutoka kwake.
Lakini bahati mbaya anamtazamo wake flani ambao tayari upo ndani yake yeye na pengine anaamini kile anacho kifikiria yeye na wengine wanaweza akafikiri kwa kufanana.
Wewe kucheka haimaanishi kwamba hauna akili, lakini minaona mleta mada anatoa majibu mengine yakuchekesha...🤣
 
Niite Dada,maana kwa mwandiko wako tu waonekana ni mdogo wangu Mwenye akili[emoji119]

Okay nisamehe tu kwa kukuita ivo tuheshiane kwa jinsi zetu sawa dada angu nambie unafuga nini wewe nijifunze kitu
 
Huyu jamaa kaja na wazo zuri sana, binafsi nimejikuta natamani kujifunza kitu kutoka kwake.
Lakini bahati mbaya anamtazamo wake flani ambao tayari upo ndani yake yeye na pengine anaamini kile anacho kifikiria yeye na wengine wanaweza akafikiri kwa kufanana.
Wewe kucheka haimaanishi kwamba hauna akili, lakini minaona mleta mada anatoa majibu mengine yakuchekesha...🤣
😂😂😂😂 mie namtazama tu na replies zake
 
Huyu jamaa kaja na wazo zuri sana, binafsi nimejikuta natamani kujifunza kitu kutoka kwake.
Lakini bahati mbaya anamtazamo wake flani ambao tayari upo ndani yake yeye na pengine anaamini kile anacho kifikiria yeye na wengine wanaweza akafikiri kwa kufanana.
Wewe kucheka haimaanishi kwamba hauna akili, lakini minaona mleta mada anatoa majibu mengine yakuchekesha...[emoji1787]

Bwana bwana ubinadamu tena si unajua ndugu yangu tunajengana tunapokosea sio kwenye kupatia tu
 
Ila kwa mimi hii kitu inafaida kubwa sijaanza kuwatoa lakini wahitaji ni wengi sana
Good, kama ndipo umeanza kuwafuga na unatembea na maono yako, then naomba nikupongeze sana mkuu.
Lakini bado tena unanirudisha nyuma kidogo unaposema "wahitaji" ni wengi.... wapo wapi hao wahitaji, yaani wewe unawaona wapi??
Bado naendelea kujifunza kutoka kwako mkuu
 
Back
Top Bottom