Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Aise, nimekuwa nikiandika nyuzi mbalimbali humu, nilizo shuhudia kutokana na mahali nilipoishi. Currently, I'm an online man, nimepitia maisha mbalimbali kuanzia 2011 hadi sasa. Ila kila ninapoandika Uzi, kuna watu nawaita people with low IQ. Mara nyingi nasema, if you don’t have facts logically, don’t judge a statement because you are not sure of what you’re talking about.
Nimeona niliseme hili kutokana na wadau kutoa maneno ya hovyo humu. Sometimes, we need to share some stories and knowledge as great thinkers here on JF. Lakini kuna wadau kweli, logically, naweza kusema wana lowest IQ. Watu wenye IQ ya juu kamwe hawafanyi hivi.
"Katika dunia ya leo, hekima inahitajika zaidi kuliko ujuaji wa maneno yasiyo na maana. Tunahitaji kushirikishana maarifa, sio kuhukumu."
Nimeona niliseme hili kutokana na wadau kutoa maneno ya hovyo humu. Sometimes, we need to share some stories and knowledge as great thinkers here on JF. Lakini kuna wadau kweli, logically, naweza kusema wana lowest IQ. Watu wenye IQ ya juu kamwe hawafanyi hivi.
"Katika dunia ya leo, hekima inahitajika zaidi kuliko ujuaji wa maneno yasiyo na maana. Tunahitaji kushirikishana maarifa, sio kuhukumu."