Yaani mpaka mifupa, alikaa muda gani baada ya kifoDaaah haya maisha haya bhana , poleni sana , Maisha ya Ulaya chenga sana , kuna dada mwingine alikutwa amekufa hvyo hvyo na ilichukua mwaka mzima kutambua amekufa , alifia kwenye sofa walikuta mifupa tuu , na mda huo Tv ilikuwa inaendelea kuwaka channel aliyokuwa ametune kabla ya kifo
Kwahiyo TV iliwaka mwaka mzima mkuu ?Daaah haya maisha haya bhana , poleni sana , Maisha ya Ulaya chenga sana , kuna dada mwingine alikutwa amekufa hvyo hvyo na ilichukua mwaka mzima kutambua amekufa , alifia kwenye sofa walikuta mifupa tuu , na mda huo Tv ilikuwa inaendelea kuwaka channel aliyokuwa ametune kabla ya kifo
Ni kweli kabisaTatizo la watanzania ukisafiri kwenda majuu na uka waambia wanaona Wivu na kuku onea donge...
Wanaweza kukuloga..Hivyo kifo ni kifo tu kikija basi no way.
Maana hata ukiishi bongo kifo kipo tu.
Kama umeelewa hvyo alafu ukatengeneza hitimisho basi wewe ni moja ya vilaza wanaosumbua hili taifakwahiyo TV iliwaka mwaka mzima mkuu ?
Nenda tena darasani ili ufahamu umeme ni nini ?
nonsense
Daaah haya maisha haya bhana , poleni sana , Maisha ya Ulaya chenga sana , kuna dada mwingine alikutwa amekufa hvyo hvyo na ilichukua mwaka mzima kutambua amekufa , alifia kwenye sofa walikuta mifupa tuu , na mda huo Tv ilikuwa inaendelea kuwaka channel aliyokuwa ametune kabla ya kifoKama umeelewa hvyo alafu ukatengeneza hitimisho basi wewe ni moja ya vilaza wanaosumbua hili taifa
Yaani mpaka mifupa, alikaa muda gani baada ya kifo
Anyways, naikumbuka hii movie.
Basi tujaribu kuacha footprints kila tunapokuwapo ili umauti.ukitukuta angalao tupate kujulikana .Oo Lord
You the only who know our last day of our destine in this world.
Rest in Piece and Poleni sote kwa msiba
Daaah haya maisha haya bhana , poleni sana , Maisha ya Ulaya chenga sana , kuna dada mwingine alikutwa amekufa hvyo hvyo na ilichukua mwaka mzima kutambua amekufa , alifia kwenye sofa walikuta mifupa tuu , na mda huo Tv ilikuwa inaendelea kuwaka channel aliyokuwa ametune kabla ya kifo
Mtu Alie zoea maisha uswailini kuombana chumvi, umbea umbea mpk aweze ku adapt lifestyle itamchukua muda...R.I.P Vivian.
Ni kweli, nchi za ulaya haswa hizi za Scandinavian upweke ni tatizo kubwa sana.
Unakuta una jirani yako kwenye 'flat' moja (milango inatizamana) lakini kama mnapishana saa za kuingia na kutoka, huyo mnaweza kukaa mwaka au zaidi bila kuonana.
Hakuna mtu anayejali kuwepo au kutokwepo kwako...hatari sana
Sasa hao ombaomba ndio Leo wanaombwa ushirikiano. Mliofanikiwa kimaisha acheni dharau kuna sehemu haya maisha yanatukutanisha.Tatizo ukijukina upo nje omba omba wanakuwa wengi wakiamini una maisha mazuri sana huko. Pole kwa familia
We umezoea umeme huu wa Bongo , ukikaa nusu saa bila kukatika mnashukuru mungu!,kwahiyo TV iliwaka mwaka mzima mkuu ?
Nenda tena darasani ili ufahamu umeme ni nini ?
nonsense
Mkuu,kurahisisha mambo yasiwe mengi,wewe uliye enda Darasani tufahamishe umeme ni nini?kwahiyo TV iliwaka mwaka mzima mkuu ?
Nenda tena darasani ili ufahamu umeme ni nini ?
nonsense
Aisee!R.I.P Vivian.
Ni kweli, nchi za ulaya haswa hizi za Scandinavian upweke ni tatizo kubwa sana.
Unakuta una jirani yako kwenye 'flat' moja (milango inatizamana) lakini kama mnapishana saa za kuingia na kutoka, huyo mnaweza kukaa mwaka au zaidi bila kuonana.
Hakuna mtu anayejali kuwepo au kutokwepo kwako...hatari sana
Mtanzania Vivian Larsen aliyekuwa akiishi Nchini Denmark ameripotiwa kukutwa akiwa amefariki nyumbani kwake Nchini humo akiwa peke yake nyumbani huku ikiwa haijulikani ni lini umauti umemkuta wakati mume wake yupo safarini kikazi.
Juhudi za kuwasiliana na Polisi nchini kupata taarifa zaidi zimekwama kwa kuwa Polisi bado wanaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha kifo chake.
Inadaiwa marehemu alikuwa anaishi Nchini Uhispania kabla hajaolewa na mume wake Brian Larsen mnamo mwaka 2016. Marehemu ana ndugu ambaye ni pacha wake anayeitwa Viola ambaye anaishi Mikocheni Dar es Salaam Tanzania.
Kama kuna Mtanzania yeyote aliyekuwa karibu na marehemu au kufahamiana naye enzi za uhai wake anaombwa kutoa ushirikiano wake, na familia ingefarijika sana.
Marehemu ana mtu mmoja wa familia alieoana na binamu yake Vivian anayeishi Denmark lakini naye alikuwa hajui kama Vivian yuko Denmark-Copenhagen. Taarifa alizokuwa anajua ni kwamba Vivian alikuwa anaishi Uhispania kama Mwanamitindo kwahiyo na yeye yuko kwenye masikitiko na mshangao wa kifo chake.
Sasa hao ombaomba ndio Leo wanaombwa ushirikiano. Mliofanikiwa kimaisha acheni dharau kuna sehemu haya maisha yanatukutanisha.
Sahihi kabisaRest In Peace,
That's life,hata Bongo aliyegongwa na mwendo kasi ilichukua muda kujua ndugu zake,tena yeye na clip zilisambaa kwenye social media,wahanga wengi tu wa ajali Bongo,huchukua muda kuwapata ndugu zake,
Naendelea kukomaa na box,ukifa umekufa,ujulikane au usijulikane ni same tu.
Kikubwa na nyie tayari mumeshageuka ombaomba. Hamna hela mnaenda kuishi nchi za watu mkifa mnakuwa mizigo kwa familia zenu. Rudini kundini bongo ukifa unazikwa na nzengo.....ulaya unaozea kwenye mabarafu.Atazikwa na serikali kama ombaomba hawataki kuhusika.