Wanafunzi 3,000 Waliopata ujauzito na sababu mbalimbali warudi Shuleni. Benki ya Dunia yaahidi kuongeza misaada

Umasikini utaondoka kwa kuwa na sera makini, mipango madhubuti na serikali iliyo committed kuwatumikia wananchi, sio kwa mikopo ya world bank
 
Umasikini utaondoka kwa kuwa na sera makini, mipango madhubuti na serikali iliyo committed kuwatumikia wananchi, sio kwa mikopo ya world bank
Hayo maneno mwisho wa siku inakuwa nini?

Hizo sera makini sijui mipango madhubuti kwani haipo? Kwani serikali ya Sasa inamtumikia nani?
 
Hayo maneno mwisho wa siku inakuwa nini?

Hizo sera makini sijui mipango madhubuti kwani haipo? Kwani serikali ya Sasa inamtumikia nani?
Mungekuwa mnawatumikia, msingepandisha bei ya nguzo za umeme, msingeua biashara ya mpesa kwa kuweka tozo za hovyo, mngedhibiti mfumuko wa bei ya vyakula na mafuta, mngetoa mikopo ya elimu kwa u sawa, munasema elimu bure mtoto bila kwanja hela ya mlinzi na kauntabuku hapokelewi,
 
Kweli, hawa wazazi huwezi kuwaeleza kitu kuhusu ngono. Sasa waalimu wasisumbuliwe hata wakitembea na hawa wazazi waachwe tuu.
Kuna kamoja kamesoma wiki mbili kaka olewa na dereva bodaboda, kana mimba tena
 
Hapa duniani... nchi ikibahatika kuwa na viongozi wake wakuu smart upstairs wanaojua dunia inataka nini basi mnaserereka tu...safi sana.
 
Unaropoka tuu 👇
 

Attachments

  • 20220608_201115.jpg
    75 KB · Views: 3
Nivute shuka sasa nilala mvua ikiwa inanyesha usingizi huwa murua sana
 
Turnover rate ni kiasi gani? Je line ngapi zimefungwa ziko dormant? Kasichana kana kula nauli kwenye vodacom, anahamia tigo mnaona ni ongezeko
👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220614-122547.png
    35.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220608-201011.png
    59.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220521-215651.png
    122.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220521-213837.png
    129.5 KB · Views: 3
Kwahiyo hamna ukuajI kwenye sekta ya kilimo na Viwanda, huo unenguaji uliokuwa kwa 19% ndo akina zichu na mwijaku?
 
Baada ya tamko la Rais Samia Suluhu Hassan la kuruhusu wanafunzi walioacha shule kwa vikwazo mbalimbali kurejeshwa shuleni, zaidi ya wanafunzi 3,000 tayari wamerejea darasani na wanaendele vizuri katika na masomo.

Watoto hawa wana haki zote za kupata elimu kama ilivyo kwa watoto wengine. Rais Samia Suluhu kongole kwake. Amefanya kazi kubwa sana.

Watu wengi wanapoelimika, giza la ujinga huendelea kupungua, ni njia moja wapo ya kumuangamiza adui wetu mkubwa 'UJINGA' na Rais Samia Suluhu amevalia njunga suala hili litafanikiwa.
 
Huku tayari tulishatoka na tumekubaliana suala la elimu sio la mjadala emphasize ipo kwenye utalii na sector ya kilimo, ajira na afya huku ndo Mama anapiga hat tricks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…