Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaJamani ni jambo jema sana watoto wapate elimu ila sasa ziwekwe semina watoto wafundishwe jinsi ya kutumia condom na kuepukana na magonjwa na mimba na wagawie pia condom
Maana wanafanya tu hayo mambo
Wapewe elimu ya ngono maana wanafanya tu wakielekezwa kujikinga itakuwa vyema pia watoto wa kike wapewe mbadala pia dawa za kuzuia mimbaSijakuelewa
Hivi vibinti unavijua? Yaani ni chupI mkononiWapewe elimu ya ngono maana wanafanya tu wakielekezwa kujikinga itakuwa vyema pia watoto wa kike wapewe mbadala pia dawa za kuzuia mimba
Vipewe elimu ya uzazi na jinsi ya kuzuia mimbaHivi vibinti unavijua? Yaani ni chupI mkononi
☺"Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Naibu Waziri wa Fedha na Mipamgo, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Amina Khamisi Shaaban, Kamishna wa Fedha za Nje wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Rished Mohamed Bade na Viongozi wengine kutoka Wizara ya Fedha na Mipango na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki."
Hii wizara wamejazana maustaadh tu. Duh!