Huko ndo kuzuri hukoo!South Africa hakuna cha mwanafunzi wala Mfanyakazi! Wote nauli moja. Na hakuna abiria kusimama
huu ni ukweli mchungu na unauma.Kuna mwingine alimjibu mzee "we nawe umechelewa wapi, wa umri wako wapo kwenye magari yao"
Yaaani Nimesoma kwa umakini sana kweli nimeamini kwamba kweli Wakazi wa Dar es Salaam wengi ni makolo, Waoga na wamejaa ujanja ujanja.
Yaaani huyo mwanafunzi anajibu hivo na pengine wewe ulieleta uzi hapa na mibaba mingine ya Dar mmekaa tu kama matikiti maji. AIBU SANA. SIdhani kama vijanafunzi ya mkoani vinaweza kuthubutu hayo mambo ya Dar.
Tandika Vibao.😎
WALIOKOSA NAULI YA KUJA DAR roho inawauma sana.. baki huko huko MATOMBO ulime viazi
Sio dreamland inatakiwa uwe na upeo wa kufikiri.. kila kitu DAR .. DAR.. DAR... huko mikoani ndipo kwa wajinga wa mwisho.. ila huwezi ku mention mkoa au kabila fulani kwa sababu ya kutoweka utengano katika jamii yetu.. BABA WA TAIFA alikataa UKABILA hii habari ya kuiweka DAR kama jiji la watu wenye matatizo fulani sio vzr hata kidogo maana vizazi vinavyokuja mtavilithisha huu ujinga.Yaani Wakazi wa Dar kazi kujipiga picha viuno tu!. Hongera sana naona umeshafika Dreamland. Goodluck!.
Viazi utapata.
atakuwa mtoto wa single mother huyuWatoto wa saivi imekuwa taabu sana nadhani ni malezi ambayo baadhi ya wazazi tunawapa... Tunawalea watoto kikekikeki sana
NakaziaYaaani Nimesoma kwa umakini sana kweli nimeamini kwamba kweli Wakazi wa Dar es Salaam wengi ni makolo, Waoga na wamejaa ujanja ujanja.
Yaaani huyo mwanafunzi anajibu hivo na pengine wewe ulieleta uzi hapa na mibaba mingine ya Dar mmekaa tu kama matikiti maji. AIBU SANA. SIdhani kama vijanafunzi ya mkoani vinaweza kuthubutu hayo mambo ya Dar.
Tandika Vibao.😎
Maisha haya kama bado unawaza watu watakuonaje bado hujawa huru na huyo dent amelitambua hilo nampongeza sanaSana yani halafu haoni aibu anaongea kwa sauti watu wote tunamsikia. Badala angejibu chini chini ila anavyojiamini hakujali tutamchukuliaje ye anampa maneno tu mama wa watu
Natamani ajiunge jf huyo dentiI wish ningekuwa kwenye hilo daladala
Mim ningecheka wallah maana napenda ujingaUngecheka na wee ungeonekana hamnazoo
Sonia waogopa majibuSiku hizi wanafunzi adabu hamna nikipanda daladala sisemeshi mtoto wa mtu kabisa napambana na hali yangu tu