Wanafunzi Chuo cha Elimu sehemu cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania (DUCE), wailaumu serikali
Mwanachuo bi. Nduguru aliyetokea Songea kusoma campus ya DUCE jijini Dar es Salaam akiongea huku akushangiliwa na wanafunzi hao wa kitivo cha chuo kikuu.
Wanachuo hao waalimu wa baadaye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Chuo cha Elimu sehemu cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania (DUCE) kipo kata ya Miburani manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Wanafunzi hao wanasema wanasikia kuwa serikali imeongeza mikopo na fedha za kujikimu (almarufu kama boom) wanachuo , lakini bado hadi leo bado hawajapewa stahiki.
Wanachuo wamelalamika kuwa wananyimwa mikopo kwa kisingizio eti wanachuo wanafunzi wasomi wamekosea kujaza fomu inavyostahili. Hall/ ukumbi mzima wazizima kuonesha mshangao kuwa inawezekana vipi waalimu watarajiwa wa degree ya elimu kushindwa kujaza fomu.
Wanachuo hao huku wakikiri kuipenda CCM na rais Samia Hassan wakiwa na mashati ya njano kuonesha mapenzi kwa chama dola kongwe CCM, lakini wasikitishwa na serikali kuburuza miguu kuwapa mikopo wanafunzi wa vyuo vikuu.
Mwanachuo bi. Nduguru aliyetokea Songea kusoma campus ya DUCE jijini Dar es Salaam akiongea huku akushangiliwa na wanafunzi hao wa kitivo cha chuo kikuu.
Wanachuo hao waalimu wa baadaye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Chuo cha Elimu sehemu cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania (DUCE) kipo kata ya Miburani manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Wanafunzi hao wanasema wanasikia kuwa serikali imeongeza mikopo na fedha za kujikimu (almarufu kama boom) wanachuo , lakini bado hadi leo bado hawajapewa stahiki.
Wanachuo wamelalamika kuwa wananyimwa mikopo kwa kisingizio eti wanachuo wanafunzi wasomi wamekosea kujaza fomu inavyostahili. Hall/ ukumbi mzima wazizima kuonesha mshangao kuwa inawezekana vipi waalimu watarajiwa wa degree ya elimu kushindwa kujaza fomu.
Wanachuo hao huku wakikiri kuipenda CCM na rais Samia Hassan wakiwa na mashati ya njano kuonesha mapenzi kwa chama dola kongwe CCM, lakini wasikitishwa na serikali kuburuza miguu kuwapa mikopo wanafunzi wa vyuo vikuu.