Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Kwa huo mtazamo wako basi kila nchi hapa duniani ni bye bye, na kila mtu hapa duniani ni bye bye. Hivyo basi hakuna haja ya kusemana make wote ni bye bye [emoji38][emoji38]Suala lamuda tu mbna.....
Pale mgonjwa anapomwambia RIP mtu ambaye haumwi wakati hata mtu ambaye haumwi hawezi kumuambia mgonjwa RIP [emoji44][emoji44], hiyo Kama sio akili za kindezi ni nini?!