Kwa huo mtazamo wako basi kila nchi hapa duniani ni bye bye, na kila mtu hapa duniani ni bye bye. Hivyo basi hakuna haja ya kusemana make wote ni bye bye [emoji38][emoji38]Suala lamuda tu mbna.....
Nisuala muda tu mbna kna mataifa hata ukiyasema bye bye haisaidii sababu hayana athari yeyote yauwepo wake hapa DUNIANI yakiwepo sawa yasipokuepo sawa ila ikitokea US rasmi DUNIA haitakaa Ishuhudie Tena UGAIDI wake namachafuko yakipuuzi kilakona.....Kwa huo mtazamo wako basi kila nchi hapa duniani ni bye bye, na kila mtu hapa duniani ni bye bye. Hivyo basi hakuna haja ya kusemana make wote ni bye bye [emoji38][emoji38]
Pale mgonjwa anapomwambia RIP mtu ambaye haumwi wakati hata mtu ambaye haumwi hawezi kumuambia mgonjwa RIP [emoji44][emoji44], hiyo Kama sio akili za kindezi ni nini?!
Ni suala la muda tu Somalia itakuwa Super Power, [emoji3][emoji3] hakuna kitu rahisi kama kuongea aisee, Ni suala la muda tu Sexer atakuwa tajiri namba moja duniani, umeona ilivyo rahisi kuongea?![emoji1787][emoji1787]Nisuala muda tu mbna kna mataifa hata ukiyasema bye bye haisaidii sababu hayana athari yeyote yauwepo wake hapa DUNIANI yakiwepo sawa yasipokuepo sawa ila ikitokea US rasmi DUNIA haitakaa Ishuhudie Tena UGAIDI wake namachafuko yakipuuzi kilakona.....
Ukweli mchungu lazima uukatae .....Ni suala la muda tu Somalia itakuwa Super Power, [emoji3][emoji3] hakuna kitu rahisi kama kuongea aisee, Ni suala la muda tu Sexer atakuwa tajiri namba moja duniani, umeona ilivyo rahisi kuongea?![emoji1787][emoji1787]
Soma vizuri historia ya dunia, walimwengu wameanza kuchinjana toka enzi za mitume na wala US haikuwepo. Jifunze kusoma vitabu bwana mdogo.Nisuala muda tu mbna kna mataifa hata ukiyasema bye bye haisaidii sababu hayana athari yeyote yauwepo wake hapa DUNIANI yakiwepo sawa yasipokuepo sawa ila ikitokea US rasmi DUNIA haitakaa Ishuhudie Tena UGAIDI wake namachafuko yakipuuzi kilakona.....
Kesho na keshokutwa utaaga tena bye bye US, na kuaga kwako kila siku hushtukii tu unayemuaga haendi popote!ukwel mchungu lazma uukatae .....
[emoji38][emoji3]Soma vizuri historia ya dunia, walimwengu wameanza kuchinjana toka enzi za mitume na wala US haikuwepo. Jifunze kusoma vitabu bwana mdogo.
Ndio nini Sasa [emoji3][emoji3] au ili mradi tu umecomment! Ni kujibu hapo watu wanachinjani tangu enzi na enzi kabla hata US haijakuwepo kwa hiyo propaganda yako ya dunia ina machafuko sababu US ni mufirisi.[emoji38][emoji3]
Endele tu kujitoa ufahamu
Hapa ni issue ya vyuo husika labda kama serikali itawafidia.Yaani Marekani itadondoka kiuchumi kutokana na kukosa ada za wanafunzi 300,000 kutoka wa Kichinaπ π π π π
Ndivyo wanavyofanya, huwa hawajiamulii bila kufanya assessment ya namna watakavyo fidia hasara ya maamuzi ya serikali.Hapa ni issue ya vyuo husika labda kama serikali itawafidia.
Una hakika mkuu? Niliweka maoni kuhusu reaction ya vyuo vikuu-pitia tena hiyo source.Ndivyo wanavyofanya, huwa hawajiamulii bila kufanya assessment ya nsmna watakavyo fidia hasara ya maamuzi ya serikali.
Ujuha tu wa Trump ndio unaomsumbua kwani kabla yake hao WACHINA hawakuwepo huko USWachina walipashwa wote kurudi kwao tuanze upya
Wachina wabaya sana magumashi mengi
Mie naona sawa Wachina bakieni kwenu mnaliisumbua Dunia na uongo na utapeli wenu
Kwa hili Trump uko sawa
mbona yeye alikwapua wana sayansi toka ujerumani na Italy baada ya vita kuu ya pili ya dunia. .. Au mkuki kwa nguruwe?Mchina ni mwizi aliyekubuhu. Trump ameamua kula nao sahani moja.
China ni moja ya mataifa makubwa sana ya kale wapo pale walipo tangu zama za kina Solomon huko uchina lilikuwa tayari ni taifa kama unavyoiona Misri wamepigana vita nyingi na kushinda. So acheni kuwa chukulia poa kibwege bwege. ..wala hamjiulizi ni miaka kama 100s iliyopita China alikuwa chini ya utawala wa uingereza na japan akigombaniwa kama nyama ya swala na fisi yaani walikuwa wana tawaliwa kwa mtungo ππWachina walipashwa wote kurudi kwao tuanze upya
Wachina wabaya sana magumashi mengi
Mie naona sawa Wachina bakieni kwenu mnaliisumbua Dunia na uongo na utapeli wenu
Kwa hili Trump uko sawa