Wanafunzi Shule ya Msingi Namalombe wasomea chini ya mkorosho

Kwa hiyo huko Nanyumbu mbunge wake anatokea upinzani?
 
Hiyo wilaya DC, DED, na Afisa elimu msingi wana kazi gani ,wanashindwa kuchangisha wananchi mchango wajenge wenyewe mambo mengine aibu kwa taifa.
 
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Ndugu Zangu
Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
Leo Ile Shule Isingekwisha Ningetoa Demo
Ningefukuza Wote
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Mbunge wao alikuwa Cecil Mwambe wa Chadema?
Nadhani hata huyo Naibu Waziri alikuwa Chadema ๐Ÿค”. Lakini Chadema na wapinzani kwa ujumla bado wapo? Ni wakati wa kuwasahau sasa tuendelee na ilani ya kijani ya madege, masgr, mavieite na mainterchange - wanyonge, wajinyonge!

Maendeleo yana chama kimoja tu.

cinq de plus, s'il vous plaรฎt.
 
Sisi tushazoea mbona hii ni hali ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ