Tetesi: Wanafunzi shule ya Sekondari Kyimo waambiwa kuchangia pesa za chakula, madawati na mwalimu wa kujitolea

Tetesi: Wanafunzi shule ya Sekondari Kyimo waambiwa kuchangia pesa za chakula, madawati na mwalimu wa kujitolea

Mimi nadhani kwangu tatizo siyo michango,tatizo ni utaratibu unaotumika.

Jamii inatakiwa kuhamasishwa ili wajue zile shule ni kwa ajili ya watoto wao na kwa kiasi fulani wanaowajibu ktk baadhi ya masuala kama miundombinu na chakula cha wanafunzi,wakae wananchi na Serikali zao wakubaliane jinsi ya kuyakabili hayo matatizo lakini kamwe mwalimu asiwe sehemu ya wakusanya michango eti kutoka kwa wabafunzi bali atoe tu ushauri baada ya kutoa taarifa ya mapungufu.

Utaratibu wa mwalimu kukusanya Fedha za madawati,majengo,chakula kwa shule za kawaida hizi siyo mzuri labda ubaki kwa zile za kitaifa kwa sababu zinachukua wanafunzi kutoka mikoa mbalimbali.
Wewe ng'ombe ni wapi waalimu wamakusanya pesa ya michango isipokuwa wazazi wenyewe kumteua!?
 
Kenya wamerusha satelaiti yao ya kwanza angani kwa ajili ya kufuatilia masuala ya Ardhi na kuangalia ukanda wa bahari wa nchi yao.

Sisi tunajadiliana "watoto wanywe uji na chakula shuleni?"
 
Hata hapo kyimo penyewe pameundwa kamati ya chakula waalimu hawagusi mchango wowote
Huo ndo utaratibu mzuri,

Wananchi wakubaliane na wachangishane kupitia hizo kamati zinazoundwa au Serikali za mitaa/kijiji.

Walimu hawatakiwi kujihusisha na ukusanyaji wa michango kutoka kwa wanafunzi au wazazi.
 
Nadhani waalimu wana maslahi wangekua hawana maslahi wasingelazimisha kiasi hiki hivi kwani hawapati mishahara?
Wewe punda kikao kilikuwa cha wazazi wenyewe wakiongozwa na diwani wao mkuu wa shule kama katibu na waalimu wengine hawakuwepo kwenye kikao waliendelea na ufundishaji,Sasa waliwalazimishaje ingali hawakuwepo kwenye kikao.RUDI DARASANI KAPATE ELIMU
 
Huo ndo utaratibu mzuri,

Wananchi wakubaliane na wachangishane kupitia hizo kamati zinazoundwa au Serikali za mitaa/kijiji.

Walimu hawatakiwi kujihusisha na ukusanyaji wa michango kutoka kwa wanafunzi au wazazi.
Na ndo maagizo yalivyo toka juu,hua tunaona mihutasari mingi ya vikao vya wazazi wanahimizana wenyewe juu ya uchangiaji
 
Wewe ng'ombe ni wapi waalimu wamakusanya pesa ya michango isipokuwa wazazi wenyewe kumteua!?
Huyo mwalimu aliyeteuliwa na wewe wote ni bata wa maziwa kwa sababu hamjui majukumu na mipaka yenu na badala yake wazazi wanawaingiza mkenge.
 
Huyo mwalimu aliyeteuliwa na wewe wote ni bata wa maziwa kwa sababu hamjui majukumu na mipaka yenu na badala yake wazazi wanawaingiza mkenge.
We mkndu kweli kwa umbumbumbu wako unadhani kila anayejua masuala ya elimu ni mwalimu!??,kuna watu wengi tu wanasimamia elimu kupitia wizara tamisemi na si waalimu,pia kuna NGOs nyingi zipokaribu na jamiii na jamii haiko mbali na elimu.Mknd wabibi yako mzaa mama yako aliyekuzaa wewe zombi
 
Bado tu mnapigizana Makelele Kuhusu michango na madawati....
Je hvyo viwanda mtaweza....

Ova
 
Shati tu alilovaa linatosha kuthibitisha ni mtu wa zama zipi
d7633a093b2ff3320a412203d72f49e2.jpg
 
Pole sana,

Shule haijawahi kuwa Mali ya Mwalimu,wamiliki wa shule ni wananchi na ndo wanaotakiwa kushughulikia masuala yote kwa kushirikiana na Serikali.

Mwalimu mwenye akili hawezi kuanza kuchangisha michango kutoka kwa wanafunzi au wazazi kwa sababu hana mamlaka hayo,anayetakiwa kukusanya michango ni Serikali za mitaa na kata baada ya kukaa ktk vikao na kukubaliana,zile ndo mamlaka.

Elimika Mwl,nilishawahi kufanya kazi hiyo lakini kwa sababu ya kauli ya ualimu ni wito ilibidi nibadili gia angani.
Nyie ndio mnaojaza server humu kwa kujifanya wajuaji.
 
RAIS KASEMA, MICHANGO ILE AMBAYO WAZAZ WATASHRIKISHWA NA WATAKUWA TAYARI NI RUKSA, ILA ADA MARUFUKU NA MICHANGO MINGNE ISYO NA ULAZMA. MIMI NAFIKIRI WAANDISH WA HABARI WATANGAZE HABARI KWA KINA NA KUWAELIMISHA WANANCH BADALA YA KUISHIA KUANDKA HABARI KIUDAKU NA KUWACHANGANYA WATU KAMA MTOA MADA.
Kasema wapi!??

Weka hayo maneno hapa.
 
Kenya wamerusha satelaiti yao ya kwanza angani kwa ajili ya kufuatilia masuala ya Ardhi na kuangalia ukanda wa bahari wa nchi yao.

Sisi tunajadiliana "watoto wanywe uji na chakula shuleni?"
Ilo Mbona bora, la kununua wapinzani, na kutumia bilioni moja kumrudisha Yule Yule aliyenunuliwa, mimi hoi
 
hakuna kosa hapo
elimu bure n kiini macho hauwezekn maana serikali haijaajir waalimu haijajenga madarasa sasa ukikataza michango inakuaje
 
Back
Top Bottom