Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaelewamkifanya Boko kwenye shule yenu au mwaka wenu
Huyo ana maanisha vetting za kuingizwa kwenye system ila hajui kama kwenye system anaingia mtu mwenye connections tu hata kama CV yake ya nyuma ni chafu..sijaelewa
kusoma boarding kuna uhusiano gani na vetting?Huyo ana maanisha vetting za kuingizwa kwenye system ila hajui kama kwenye system anaingia mtu mwenye connections tu hata kama CV yake ya nyuma ni chafu..
Kama kumbukumbu za Jiwe zinadaiwa kuonyesha kuwa, mwamba alifukuzwa shule (boarding) kwa sababu ya tabia ya kuvuta bangi na matatizo ya kitabia, na bado mwisho wa siku akawa Rais wa Tanzania. Nani mwingine anaweza kumnyoshea kidole mwanafunzi wa boarding mtukutu?Wanafunzi JIHESHIMUNI sana serikali haipotezi kumbukumbu kamwe daima dumu mkifanya Boko kwenye shule yenu au mwaka wenu basi kizazi chenu kinawekwa kwenye kumbukumbu za kutoajirika au kuajirika kwa scrutiny kubwa sana.
Inasemekana wale jamaa wa SSIT wana walimu wengi shule za boarding kuliko za day..kusoma boarding kuna uhusiano gani na vetting?
Wewe jamaa huwa unaandikaga Kiingereza kizuri sana katika baadhi ya comments zako humu. Big up sana..Tulichoma mabweni, tukapiga polisi. Kilichotukuta sasa 🤣🤣
Thank You ✌🏿Wewe jamaa huwa unaandikaga Kiingereza kizuri sana katika baadhi ya comments zako humu. Big up sana..
Hiyo mijadala huwa inajadiliwa kwa mizuka tu ndiyo maana wanakosa msimamo. Leo hili kesho lile.Nyie kila siku mnasisitiza vijana wapatao wajiajiri. Au sio nyie??..
Kwendaaaa huko , wangapi wamefirana , wanavujisha mavideo ya Ngono lkn Serikali ya CCM inawapokea na kuwapa vyeo .Wanafunzi JIHESHIMUNI sana serikali haipotezi kumbukumbu kamwe daima dumu mkifanya Boko kwenye shule yenu au mwaka wenu basi kizazi chenu kinawekwa kwenye kumbukumbu za kutoajirika au kuajirika kwa scrutiny kubwa sana.