Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha waandamana baada ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kukata pesa zao za kujikimu

Hao watoto wa vyuo vya elimu ya juu hasa wa nyakati hizi asilimia kubwa ni mazwazwa,suala na bodi ya mikopo kuwapa pesa pungufu ni sawa kabisa,huenda ikasaidia Oktoba kufanya maamuzi sahihi.
Bodi ya mikopo pesa mliyotoa ni nyingi sana mngewapa elfu kumi tu kama pesa ya pedi au ya kununulia wembe wanyoe mavuz# yao.
 
aiseee
 
Hawajaandama hao wamesimama nje ya jengo,unajua maana ya maanfamano?
 
Mkiongezewa mnaenda kunywea pombe bora wasiwape.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…