Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji, wametengeneza gari linalotumia umeme

Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji, wametengeneza gari linalotumia umeme

Ni gari dogo linaloweza kuaccomodate watu wawili.

Linatumia motor ambayo inakuwa powered na batteries ili kuweza kutembea, ambapo hilo gari unaliconnect kwenye umeme kama ambavo unacharge simu au laptop yako. Na ni umeme huu huu ambao tunautumia majumbani.

Linaweza kubeba 500kg na pia likiwa full charged linaweza kutembea mpaka 100km

Lipo katika finishing processes.

Kwa maelezo zaidi usisahau kuangalia ITV leo saa moja kamili jioni katika kipindi cha usafiri wako. Na pia alhamisi ijayo saa moja jioni itakuwa ni part 2 ya hicho kipindi.

USIKOSE

View attachment 812960View attachment 812961View attachment 812963View attachment 812964View attachment 812965
BADO UWEZO WA KUWA CREATIVE NI MDOGO SANA. UGANDA NA KENYA WALICHOKIFANYA SASA YALE NDO MAGARI SIO KUTULETEA VYUMA NA MABATI YALIOUNGANISHWA ALAFU ANASIFU, MBONA WATZ TUNA HAIBISHANA. YANI YOYOTE ALIYE KUWA PROUD KWA ILO, UKAPIMWE AKILI, ATAKUWA ANAMATATIZO SANA.
 
Kwa hii hali ya kutaka kujilinganisha na wazungu basi tutaendelea kujiona tumelaaniwa hadi kiyama,maana hakuna siku ambayo itakuja kuwafikia hao wazungu.
 
Sio haba,, wakipewa sapoti wanaweza fika mbali though ni existing idea already
 
Mkokoteni unaotumia motor ndo gari..anyway,wamejitahidi sana
 
Nasikia hata kipindi hicho watu walipinga sana kuona haiwezekani lugha ya kiingereza kutumika kwenye sayansi.
 
Hata 1890 yalikuwa better, natafuta walipoweka engine sioni. Imenifurahisha maana magari ya sasa yalivyo wanatuletea kituko hiki na rais akakizindue

Kwahiyo ada za wazazi wa hao wanafunzi zimeliwa bure tu?!
 
Back
Top Bottom