Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.

Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...

Screenshot_20240714-162334.png
Screenshot_20240714-162452.png
Screenshot_20240714-162513.png
Screenshot_20240714-162604.png
Screenshot_20240714-162604.png

Screenshot_20240714-162631.png


Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...

Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...

Screenshot_20240714-162719 (1).png
20240714_162117.jpg


Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.

Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
 

Attachments

  • Screenshot_20240714-162547.png
    Screenshot_20240714-162547.png
    551.8 KB · Views: 6
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona a ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.
Sema wanafaulishwa sana ila kichwani empty.
 
Zaman hata wasimamizi walikuwa wasimamizi kweli , siku hizi msimamizi akimaliza kugawa karatas za maswali anatoka nje kupiga story.

Siku hizi vyanzo vya materials ni vingi na upatikanaji wake ni rahis. Zamani Kama hamna mwalim wa Physics au bios imetoka hiyo lakin siku hiz watu hawana walim lakin Wanauwezo wa kudownload audios au video material.
 
Zaman hata wasimamizi walikuwa wasimamizi kweli , siku hizi msimamizi akimaliza kugawa karatas za maswali anatoka nje kupiga story.

Siku hizi vyanzo vya materials ni vingi na upatikanaji wake ni rahis. Zamani Kama hamna mwalim wa Physics au bios imetoka hiyo lakin siku hiz watu hawana walim lakin Wanauwezo wa kudownload audios au video material.
Sahihi kbsa
 
Wanafaulu coz elimu imepoteza maana haina ajira na umaana ule kwahiyo hata seriousness ya utungaji na usahishaji haipo after all wanataka wapate data za kisiasa za majukwaaani!!

Enzi zile unasoma ,ukimaliza chuo TU ajira nje nje !!mi ni class of 2009 Advanced level science!!!

Leo graduate Hana uhakika na ajira hata apate div 1 point 3
 
Naam madogo wa sasa wanafaulu zaidi ingawa sio kwamba wana akili zaidi bali wanasoma zaidi na upatikanaji wa information sasa hivi ni rahisi na unaweza ukaelewa zaidi ukitaka bila hata kukariri in short kufeli sasa hivi ni uamuzi tu...

Pili mitihani hii kulenga paper rahisi sana maswali ni yale yale (hakuna jipya)
 
Naam madogo wa sasa wanafaulu zaidi ingawa sio kwamba wana akili zaidi bali wanasoma zaidi na upatikanaji wa information sasa hivi ni rahisi na unaweza ukaelewa zaidi ukitaka bila hata kukariri in short kufeli sasa hivi ni uamuzi tu...

Pili mitihani hii kulenga paper rahisi sana maswali ni yale yale (hakuna jipya)
Umemaliza
 
Mpime mtoto wako aliyefaulu vizuri kwenye vitu vya kawaida tu hapo ndio utaelewa. Shida inaweza kuwepo, mm toka napoona(ga) humu graduates wa sasa hata kuandika kiswahili vizuri hawezi huwa napata hasira sana

Au angalia EATV kipindi cha skonga. Dogo wa form three anaulizwa "kochi, viti, meza" kwa jina la pamoja kwa kiingereza vinaitwaje
Dogo anakuna kichwa, anaangalia juu anaumiza akili, alafu mwishoni anasema kwa kiingereza ni "vegetables"
 
Mazingira ya Elimu yapo vizuri.

Mtu ukiamua kufaulu now days ni uhakika 100%

-YouTube
-Google
-Chart GPT AI.

Kuhusu kusoma Sana hii ni kweli vijana wanasoma Sana ili kukariri Ila kichwani hawapo

Juzi kuna jamaa nilimwambia kitu kama hiki kuwa Elimu ya darasani inaendana Sana na mazingira na sio akili Kama akili.


vizuri.
 
Back
Top Bottom