Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

Ukitaka kujua wazee wa zamani walisoma ujinga angalia nchi hii walivyoipeleka

Walileta azimio la Arusha wakataifisha mali za watu waliojipatia mitaji na biashara kwa nguvu zao .Halafu wakaja na ujinga mwingine siasa ya ujamaa na kujitegemea uliotia umaskini wananchi na taifa wakaja kuua na elimu wakaanzishe shule za UPE ambazo mwalimu alikuwa aliyemaliza darasa la saba

Kizazi cha sasa kikagomea yote na kufuta ujinga wao walioanzisha kwenye hii nchi

Mzee akisema ohh sisi eliim8 yetu ilikuwa kubwa muulize cha maana mlichoifanyia nchi nini? Mashirika ya umma hivyo vizee viliua yote.Zero competence kwenye uendeshaji mashirika

Kuna haja kuwa na siku maalumu ya generation Z ya kuvizomea hivyo vizee vya zamani.Iwe ni siku ya kitaifa na ya mapumziko
Huwezi hata kuandika kwa usahihi, wala kupangilia hoja zako na unawalaumu waliokuletea uhuru na kutengeneza miundombinu yote unayotumia?

Gen Z hamjafanya lolote mpaka sasa. Ninyi ni watoto ambao ndiyo kwanza mnaanza kujitafuta. Hivyo, kuwa mpole, jifunze na ujiendeleze kimaarifa.
 
Enzi zetu kata nzima anafaulu mtoto mmoja au Jimbo zima ukifaulu unajulikana ila sasa ni hatari ,scholarship za China,Urusi kupitia TIRDO walikuwa wanapata watu hawazidi kumi na mitihani mnafanyia KISUTU sekondari ila kuna kipindi Scholarship zikaja wakapata kama watu 300 hadi vilaza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wazee mimi ntaleta mrejesho mwaka kesho nta_reseat japo imepita miaka 12 toka nihitimu kidato cha sita. ntarudia mtihani PCM matoke ntayopata ndo nta comfirm nachokiamini kuwa saivi elimu yetu kila mtu ni kufaulu tu.

mwaka huo tuliosoma PCM hakuna mtu naemjua alie pata one
, physics kuna mtu mmoja tu ndo namjua aliye pata C, kuna mshikaji wangu ni engineer alikuwa na E physics.

Mwaka jana kuna mdogo wangu PCB alipata one ya nane nilikuwa namfanyia application cha kushangaza akawa hapati chuo(alikuwa anataka medicine), huyu dogo O'level alikuwa na one ya 11 form two one ya 7, lakini nilikuwa namfundisha naona kabisa kichwani mweupe yaani hana maajabu yoyote.
 
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.

Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...

View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271

Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...

Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...

View attachment 3042275View attachment 3042276

Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.

Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
Personally nilipata Mathematics O-Level D mwaka 1978. Wanangu 2 walikuwa weak kwenye somo hilo na mimi nikawa ndiyo mwalimu wao. Mmoja alifanya NECTA mwaka 2009 alapata hesabu "A: na mwingine mwaka 2011 akapata hesabu "C".

Na wanakiri kuwa mimi ndiye mwalimu wao na hawanizidi mpaka leo.

Ushhuhuda tu, conclusion weka mwenyewe
 
Wazee mimi ntaleta mrejesho mwaka kesho nta_reseat japo imepita miaka 12 toka nihitimu kidato cha sita. ntarudia mtihani PCM matoke ntayopata ndo nta comfirm nachokiamini kuwa saivi elimu yetu kila mtu ni kufaulu tu.

mwaka huo tuliosoma PCM hakuna mtu naemjua alie pata one
, physics kuna mtu mmoja tu ndo namjua aliye pata C, kuna mshikaji wangu ni engineer alikuwa na E physics.

Mwaka jana kuna mdogo wangu PCB alipata one ya nane nilikuwa namfanyia application cha kushangaza akawa hapati chuo(alikuwa anataka medicine), huyu dogo O'level alikuwa na one ya 11 form two one ya 7, lakini nilikuwa namfundisha naona kabisa kichwani mweupe yaani hana maajabu yoyote.
Miaka hii kupata MD kazi sana labda kcmc
 
Personally nilipata Mathematics O-Level D mwaka 1978. Wanangu 2 walikuwa weak kwenye somo hilo na mimi nikawa ndiyo mwalimu wao. Mmoja alifanya NECTA mwaka 2009 alapata hesabu "A: na mwingine mwaka 2011 akapata hesabu "C".

Na wanakiri kuwa mimi ndiye mwalimu wao na hawanizidi mpaka leo.

Ushhuhuda tu, conclusion weka mwenyewe
Ni kweli, alieishia darasa la saba 1960-1980 anajua kusoma vizuri na kuandika vizuri kuliko darasa la saba wa miaka hii.
 
Wanafaulu class Ila mtaani wanapoteana kuliko kipindi chote cha historia ya nchi.
Hivyo, kwa sasa hali ni kinyume na kichwa cha mada
 
1.
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.

Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...

View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271

Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...

Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...

View attachment 3042275View attachment 3042276

Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.

Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
ELIMU SASA HIVI RAHISI , UJIO WA INTERNET NA UPATIKANAJI WA COMPUTER UMEFANYA MAMBO YAWE MEPESI. ENZI ZETU UNAWEZA KUTAFUTA TAFSIRI YA NENO NUSU SAA NZIMA SASA HIVI UKIWEKA TU GOOGLE KITU IMOOO

PILI ZAMANI ELIMU ILIKUA NI FURSA SEREKALI HAIKUA NA UWEZO WA KUHUDUMIA WANAFUNZI WENGI HIVYO PALIKUA NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KUFELISHA WANAFUNZI. UNAWEZA UKAKUTA SOMO RAHISI KAMA HISTORIA LAKINI INATUMIKA LUGHA NGUMU KUULIZA MASUALI ILIMRADI TU MFELI, NDO MAANA UKAKUTA MTU AKIPASI MAANA YAKE HUYO NI KICHWA.
 
Personally nilipata Mathematics O-Level D mwaka 1978. Wanangu 2 walikuwa weak kwenye somo hilo na mimi nikawa ndiyo mwalimu wao. Mmoja alifanya NECTA mwaka 2009 alapata hesabu "A: na mwingine mwaka 2011 akapata hesabu "C".

Na wanakiri kuwa mimi ndiye mwalimu wao na hawanizidi mpaka leo.

Ushhuhuda tu, conclusion weka mwenyewe
'D' ya miaka hiyo ni 'A' ya miaka hii. Siku hizi si ajabu kukuta mtoto aliyefeli form two anafaulu form four.
 
Hakuna kizazi cha RUSHWA chenye mfumo wa elimu bora hata siku moja. Ila wasomi wenye akili wapo sema mfumo wa RUSHWA umeharibu kila kitu...
 
Back
Top Bottom