Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,477
- 1,668
Elimu biashara.Hakuna kizazi cha RUSHWA chenye mfumo wa elimu bora hata siku moja. Ila wasomi wenye akili wapo sema mfumo wa RUSHWA umeharibu kila kitu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu biashara.Hakuna kizazi cha RUSHWA chenye mfumo wa elimu bora hata siku moja. Ila wasomi wenye akili wapo sema mfumo wa RUSHWA umeharibu kila kitu...
Hujui ulichokiandikaAcha janja janja wewe, kubali tu kizazi chenu kilikua cha vilaza kuliko generation Z ya sasa.
Kizazi chenu cha vilaza, madomo zege na washamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimu wana haki zaidi ya kutoa comments kwenye Uzi huu maana ndio wanaishi na wanafunzi.Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.
Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...
View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271
Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...
Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...
View attachment 3042275View attachment 3042276
Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
Hakuna lolote, kwa sasa mfumo tu ndio unawabebaWaliokwenda kidato cha tano wengi wanajielewa na zaidi upatikanaji wa material ni rahisi. Zamani kitabu na material alikuwa nacho Mwalimu tu. Sasa hivi kuna vitabu cya kutosha mashuleni,mitandaoni n.k
Ukipata fursa ya kuwafundisha Hawa madogo ndio utajua kuwa hizo one a two ni mipango tuWazee mimi ntaleta mrejesho mwaka kesho nta_reseat japo imepita miaka 12 toka nihitimu kidato cha sita. ntarudia mtihani PCM matoke ntayopata ndo nta comfirm nachokiamini kuwa saivi elimu yetu kila mtu ni kufaulu tu.
mwaka huo tuliosoma PCM hakuna mtu naemjua alie pata one
, physics kuna mtu mmoja tu ndo namjua aliye pata C, kuna mshikaji wangu ni engineer alikuwa na E physics.
Mwaka jana kuna mdogo wangu PCB alipata one ya nane nilikuwa namfanyia application cha kushangaza akawa hapati chuo(alikuwa anataka medicine), huyu dogo O'level alikuwa na one ya 11 form two one ya 7, lakini nilikuwa namfundisha naona kabisa kichwani mweupe yaani hana maajabu yoyote.
Wanafunzi wengi hawatumii hizo computer na internet kwa kuwa hazipo mashuleni pia simu haziruhusiwi.1.
ELIMU SASA HIVI RAHISI , UJIO WA INTERNET NA UPATIKANAJI WA COMPUTER UMEFANYA MAMBO YAWE MEPESI. ENZI ZETU UNAWEZA KUTAFUTA TAFSIRI YA NENO NUSU SAA NZIMA SASA HIVI UKIWEKA TU GOOGLE KITU IMOOO
PILI ZAMANI ELIMU ILIKUA NI FURSA SEREKALI HAIKUA NA UWEZO WA KUHUDUMIA WANAFUNZI WENGI HIVYO PALIKUA NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KUFELISHA WANAFUNZI. UNAWEZA UKAKUTA SOMO RAHISI KAMA HISTORIA LAKINI INATUMIKA LUGHA NGUMU KUULIZA MASUALI ILIMRADI TU MFELI, NDO MAANA UKAKUTA MTU AKIPASI MAANA YAKE HUYO NI KICHWA.
😀😀😀😀😀Acha janja janja wewe, kubali tu kizazi chenu kilikua cha vilaza kuliko generation Z ya sasa.
Kizazi chenu cha vilaza, madomo zege na washamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀 umeuaMpime mtoto wako aliyefaulu vizuri kwenye vitu vya kawaida tu hapo ndio utaelewa. Shida inaweza kuwepo, mm toka napoona(ga) humu graduates wa sasa hata kuandika kiswahili vizuri hawezi huwa napata hasira sana
Au angalia EATV kipindi cha skonga. Dogo wa form three anaulizwa "kochi, viti, meza" kwa jina la pamoja kwa kiingereza vinaitwaje
Dogo anakuna kichwa, anaangalia juu anaumiza akili, alafu mwishoni anasema kwa kiingereza ni "vegetables"
BRN - big results now..Dah umenikumbusha mbali sie ndo tulimaliza iyo 2012 form six kipindi icho wengi wenu humu hamjazaliwa ilikuwa kupata div 3 ya PCB ulikuwa unaonekana we n kichwa hatari
Sure kabisaElimu biashara.
Matokeo ya mtihani wa taifa ni "political results" sio "educational results"Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.
Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...
View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271
Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...
Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...
View attachment 3042275View attachment 3042276
Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
Kuna ujinga mwingi unafanyika ili wafaulu.Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.
Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...
View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271
Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...
Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...
View attachment 3042275View attachment 3042276
Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26