Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

Zaman hata wasimamizi walikuwa wasimamizi kweli , siku hizi msimamizi akimaliza kugawa karatas za maswali anatoka nje kupiga story.

Siku hizi vyanzo vya materials ni vingi na upatikanaji wake ni rahis. Zamani Kama hamna mwalim wa Physics au bios imetoka hiyo lakin siku hiz watu hawana walim lakin Wanauwezo wa kudownload audios au video material.
Umeongea point mkuu
 
Hizi shule za masikini za tabaka la kutawaliwa ndiyo mnapongeza kufaulu?Na amini Kwa wanaojielewa huwezi kuwakuta kwenye hizi shule.mfano mtoto wa mhindi yeyote anayeishi hapa Tz,au mtoto wa waziri rais,n.k
 
Mtihani wenyewe wa hesabu wa Form Four ni multiple choice What do you expect
Unasemea section B 😂😂😂😂
Zamani
SECTION B:40 marks)
(Answer all questions)
Sasa hivi
SECTION B:40marks)
(Answer 4 questions, question 11 is compulsory)

😂😂😂😂😂😂
 
Currently,Siasa imeingia kwenye Elimu yetu, wanasiasa wana enjoy kuzalisha machawa wasiokuwa na reasoning.........maana hata vyuoni ni praise teams hadi maprofesa,Madr etc.......
 
Sasa hivi mazingira mazuri ya kusoma.tofauti na kipindi chetu.na wazazi Wana hela wanapeleka watoto shule za maana
 
Zaman hata wasimamizi walikuwa wasimamizi kweli , siku hizi msimamizi akimaliza kugawa karatas za maswali anatoka nje kupiga story.

Siku hizi vyanzo vya materials ni vingi na upatikanaji wake ni rahis. Zamani Kama hamna mwalim wa Physics au bios imetoka hiyo lakin siku hiz watu hawana walim lakin Wanauwezo wa kudownload audios au video material.
Hakuna kitu,
Miaka ya nyuma kashfa za kuvujisha paper kila mwaka,


Madogo wana uelewa, wana material mengi,
 
Wametanua goal posts kwahyo vijana wanafunga tu kirahisi
 
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.

Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...

View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271

Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...

Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...

View attachment 3042275View attachment 3042276

Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.

Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
Zamani waliweka majina, wakaja wakaweka namba, baadae wakafuta hadi kusema shule iliyo ngoza kwa aibu za kijinga, kwa ujumla MKENDA anaingia kwenye historia ya MUNGAI, wanaua elimu.
WAtoto wanapewa majibu ya kuchagua.
division one ya sasa ni divsion 3 ya mwaka 2010
 
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.

Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...

View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271

Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...

Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...

View attachment 3042275View attachment 3042276

Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.

Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
VIrutubisho vingi siku hizi
 
Siyaamini matokeo haya hata kiduchu..
Siasa.
 
Hizi shule za masikini za tabaka la kutawaliwa ndiyo mnapongeza kufaulu?Na amini Kwa wanaojielewa huwezi kuwakuta kwenye hizi shule.mfano mtoto wa mhindi yeyote anayeishi hapa Tz,au mtoto wa waziri rais,n.k
Sasa hao kina Nape ndiyo wanajielewa.. au unazungimzia mawaziri gani,
 
Kwann wanawake wa zamani walikuwa vimbaumbau ila wa siku hizi wameumuka? Ukipata jibu lihamishie kwenye swali lako ahsante.
 
Sasa hivi nadhani sera yao ni kufanya kila mwanafuzi afike form six kwanza mana sio kwa hali hii

Kuna shule jiran yangu wanafunzi wake tunawajua wengi hamnazo lakin mtihani wa form 4 hakukuwa ba division zero hata moja.

Kwanza siku hizi ukifeli kwenda advance yan ww ndio chizi kabisa hufai kupelekwa hata certificate mana utaenda kufeli na huko pia.

Imagine form 2 kwenda 3 ukipata tu D mbili unavuka hata kama masomo mengine utapata f zote
 
Back
Top Bottom