Umeongea point mkuuZaman hata wasimamizi walikuwa wasimamizi kweli , siku hizi msimamizi akimaliza kugawa karatas za maswali anatoka nje kupiga story.
Siku hizi vyanzo vya materials ni vingi na upatikanaji wake ni rahis. Zamani Kama hamna mwalim wa Physics au bios imetoka hiyo lakin siku hiz watu hawana walim lakin Wanauwezo wa kudownload audios au video material.
Unasemea section B 😂😂😂😂Mtihani wenyewe wa hesabu wa Form Four ni multiple choice What do you expect
Kivipi? Funguka mkuuTatizo sisi tulifundishwa na walimu ambao siyo wazalendo
sawa mkuu ntaleta, japo nimejaribu kupitia naona na mimi kichwani nimekuwa mweupe ila ntapambana maana nikisha lipia sitataka kuona hela iende eti nikimbie.Usisahau kuleta mrejesho mkuu📌
Hakuna kitu,Zaman hata wasimamizi walikuwa wasimamizi kweli , siku hizi msimamizi akimaliza kugawa karatas za maswali anatoka nje kupiga story.
Siku hizi vyanzo vya materials ni vingi na upatikanaji wake ni rahis. Zamani Kama hamna mwalim wa Physics au bios imetoka hiyo lakin siku hiz watu hawana walim lakin Wanauwezo wa kudownload audios au video material.
Walimu ambao hawakuwa na wito asilimia kubwa walikosa ajira kwa kile walichosomea wakaamua kuforce kwenye ualimu ambao haukua obb kwao.Kivipi? Funguka mkuu
Zamani waliweka majina, wakaja wakaweka namba, baadae wakafuta hadi kusema shule iliyo ngoza kwa aibu za kijinga, kwa ujumla MKENDA anaingia kwenye historia ya MUNGAI, wanaua elimu.Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.
Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...
View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271
Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...
Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...
View attachment 3042275View attachment 3042276
Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
VIrutubisho vingi siku hiziUkichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na mtu ameenda form five nilikua namuona watofauti saana, heshima nyingi mtaani, na matokeo yao miaka hiyo yalikua ni mabaya sana.
Refers matokeo ya ACSEE 2012. Hapa hata PCB mwenye three ya 15 alisoma udaktari...
View attachment 3042266View attachment 3042267View attachment 3042268View attachment 3042270View attachment 3042270
View attachment 3042271
Baada ya hapo kikaingia kizazi cha 2000, ambapo tunawaona kama wazinguaji, wasiokua na maadili lakini wananyoosha balaa, fikiria zamani shule zilikua zinajulikana, minaki, Milambo, pugu, n.k...
Lakini sasa hivi madogo wanaenda shule za hovyo, shule inaitwa kasangezi, sijui Ziba ya huko igunga lakini wanapasua balaa.
Miaka hii kusoma udaktari bila division 1 point 6 hupati udaktari...
View attachment 3042275View attachment 3042276
Swali je madogo wa siku hizi wanauelewa kuliko wa miaka ya zamani? Mtaala hujabadilika sana waliosoma biology 2005 bs, ndio wanachokisoma watoto wa sikuhizi.
Pia soma:Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26
Sasa hao kina Nape ndiyo wanajielewa.. au unazungimzia mawaziri gani,Hizi shule za masikini za tabaka la kutawaliwa ndiyo mnapongeza kufaulu?Na amini Kwa wanaojielewa huwezi kuwakuta kwenye hizi shule.mfano mtoto wa mhindi yeyote anayeishi hapa Tz,au mtoto wa waziri rais,n.k