Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
N A K A Z I ATunaomba picha mtembeo ama mnato tafadhari
Sasahivi nchi imearibika, bila ya kujishebedua na kujipendekeza hutoboiWanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!
Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.
Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?
Hakuna mtu mwenye akili am aye ataona hii nisawq bali ni wajinga tuusijaona shida na zoezi la kumtakia heri mama yetu kipenzi haliwezi kuadhiri vipindi vya masomo kiujumla
Hapa unaweza kukuta mwaliku mkuu na diwani ndio vinaraInasikitisha sana watoto wetu wanavyofundishwa uchawa,kujipendekeza Kwa wenyevyeo!!
Hii nchi kuhusu kutumia akili kwakweli bado sana.
Tukisema tupapambanie katiba mpya isiyomfanya Rais kama mtu wamaajabu wapumbafu hawaelewi! Shame
Kumbe na huku upo, ujatetea serikali kutoa posho za 3000 kwa walimu na bado unaona ni sawa watoto kuwa involved na mambo ya kisiasa. Sasa birthday ya rais nayo liwe jambo la kitaifa hadi kwenye taasisi za umma?sijaona shida na zoezi la kumtakia heri mama yetu kipenzi haliwezi kuadhiri vipindi vya masomo kiujumla
Icho ni kiwanda cha kuzalisha Wajinga na Mabogus maana walimu wanaonekana ni Empty humo vichwaniWanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!
Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.
Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?
Ni kikundi cha watu wachache kinafanya haya si wote. Mi naamini hata maaskari huwa si wote hufanya ujinga wa kulinda uovu ni kama walimu tu. Hapo utakuta ni mkuu na mwalim wa nidhamu wameamua kufanya hivyo huku wanaa wakiwa chemba wanawachora tuIcho ni kiwanda cha kuzalisha Wajinga na Mabogus maana walimu wanaonekana ni Empty humo vichwani
Upendo unapolazimishwa, unazua maswali.?!?!Wanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!
Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.
Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?