Pre GE2025 Wanafunzi wa Rukwa Girls Secondary School washerekea siku ya kuzaliwa Rais Samia! Tunalazimisha iwe sherehe ya taifa?

Pre GE2025 Wanafunzi wa Rukwa Girls Secondary School washerekea siku ya kuzaliwa Rais Samia! Tunalazimisha iwe sherehe ya taifa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!

Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.

Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?


Wanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!

Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.

Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?


Kuna mtu anajitafutia Kiki. Hawa Watoto hawawezi Kuja na huo Mpango na picha. Yaani JF hawajui kuna birthday ya Mama Abdul, halafu huko Rukwa wanajua. No way!
 
Wanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!

Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.

Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Tanzania haimzuwi mtu kusherehekea siku ya kuzaliwa.
wala haizuwi kikundi kumfanyai mtu shrehe ya kuzaliwa

Sasa kama watakuja watu kufanya sherehe ya kuzaliwa kwamwalimu wawo au kwa wazee wawo au kwa kocha wawo au kwa kiongozi wawo isiwe shida.

Kwa mfano wafanya kazi wa Kampuni ya Bakhress wana weza amua kufunga kazi na kusherehea kea siku ya kuzaliwa Bosi wawo au Wasafi Au Simba Sc Au yanga na kadhalika.

Tuacheni wivu
 
Wanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!

Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.

Soma Pia: Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

 
Maadui wa taifa wameongezeka na kuwa wanne (4), na aliyeongezeka hatari zaidi ni Uchawa
 
Wanajukwaa mambo kama yanaendelea kunoga!

Maana uchawa huu sasa ni balaa, unaambukizwa hadi kwa watoto kwa lazima sana @Cute Wife unalipi la kusema hapa?
=====================

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Rukwa (Rukwa Girls Secondary School) wakimtakia heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye leo anatimiza miaka 65.
Ningekuwa mimi ningeeona aibu
 
Back
Top Bottom