Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Mung'ong'o eeeh!?Naomba riwaya ya Mirathi ya Hatari
Kinasomwa mashuleni au vyuoni?Mwenye kitabu MAJI HAYAFUATI MKONDO tafadhari
First year ya wapi?Natafuta vitabu vua economics na finance first year
Usijali ndugu
Niliisoma hii,inatishaYa Mung'ong'o eeeh!?
Inasomwa mashuleni na vyuoni au unaitaka tu kwa haja binafsi?
Uchawi sana...Niliisoma hii,inatisha
Unavifahamu majina?Nahitaji vitabu vya advance vya chemistry,,msaada
Niliisomaga zamani. Naíhitaji kwa haja binafsiYa Mung'ong'o eeeh!?
Inasomwa mashuleni na vyuoni au unaitaka tu kwa haja binafsi?
VyuoniKinasomwa mashuleni au vyuoni?
Ngaiza au vya TIEUnavifahamu majina?
Waandishi?
Mimi naskma darasa la tano mkuu, hauna kitabu cha math cha grade 5?Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani
Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati
[emoji3591][emoji3591][emoji3591]
Mods please msiunganishe uzi huu na nyuzi zingine za vitabu.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya vitabu vya shuleni na vyuoni tu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
makini sanaVingine hivi hapa:
Philosophy 101
30-Seconds Philosophy
The Philosophy Book
The Story of Philosophy