Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kasirwa ya Rombo wanazurura tu mtaani kwa sasa

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kasirwa ya Rombo wanazurura tu mtaani kwa sasa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Hii ni Shule ya Msingi Kasirwa ipo Rombo, kwa sasa asilimia kubwa ya Wanafunzi wanashinda nje ya Madarasa, wanazurura tu nje kwa kuwa madarasa yao yapo kwenye maboresho.

Hivi tunajiuliza uongozi wa Shule, Wilaya na Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa wapi muda wote hadi madarasa yanakuwa katika hali mbaya kama hivi

Wameamua kujenga madarasa ya dharura yakiwemo ya mabati.
WhatsApp Image 2024-09-26 at 10.12.01_de66c820.jpg

WhatsApp Image 2024-09-26 at 10.12.01_69418268.jpg

WhatsApp Image 2024-09-26 at 10.12.01_c5ebbfda.jpg

WhatsApp Image 2024-09-26 at 10.12.00_d6e58a26.jpg

WhatsApp Image 2024-09-26 at 10.11.42_b17164b1.jpg
 
Hii ni Shule ya Msingi Kasirwa ipo Rombo, kwa sasa asilimia kubwa ya Wanafunzi wanashinda nje ya Madarasa, wanazurura tu nje kwa kuwa madarasa yao yapo kwenye maboresho.

Hivi tunajiuliza uongozi wa Shule, Wilaya na Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa wapi muda wote hadi madarasa yanakuwa katika hali mbaya kama hivi

Wameamua kujenga madarasa ya dharura yakiwemo ya mabati.
sasa kama tatizo unalijua na umesema kabisa wameamua kujenga madarasa ya dharura ya mabati kwa ukarabati unaoendelea bado unalalamika tena kuwa wanazurura? huu uzi umeleta ili iwe nini, kwanini usingemwambia waziri wenu wa welimu mrombo mwenzenu unakuja kusumbua watu huku jamvini kwa vitu obvious kabisa?
 
Ebu zunguka Tz shule nyingi za msingi mabati yameoza hata kupaka rangi , majengo hayajafanyiwa ukarabti zaidi ya miaka 10.
 
Dah! Kasirwa. Wachaga wengi wa kijiji cha kasirwa wapo dodoma, nairobi kikombaa na dsm kuisaka shekeli kwa hali na mali!
 
Back
Top Bottom