General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Tatizo hawa kina ndalichako wanaogopa kumwelewesha rais haya mambo sawasawa.
Ningekuwa mimi magufuli ndalichako ningempa transfer akawe ofisa mifugo huko meatu,kwa uzembe
Kosa la ndalichako ni lipi mkuu?