Tetesi: Wanafunzi wa UDOM Kurudishwa chuo kwa awamu

Tetesi: Wanafunzi wa UDOM Kurudishwa chuo kwa awamu

Tatizo hawa kina ndalichako wanaogopa kumwelewesha rais haya mambo sawasawa.
Ningekuwa mimi magufuli ndalichako ningempa transfer akawe ofisa mifugo huko meatu,kwa uzembe

Kosa la ndalichako ni lipi mkuu?
 
BAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza
Alirisiti shule ya chumbani kwenu?
 
Asante kwa taarifa msemaji mkuu waserekali.

Habari zikufikie mtoa POST.
 
Mkuu yaani watakaorudishwa ni wale tu wenye sifa...kama ni mjadala wa Jesca yaani endeleeni ikiwezekana anzisheni thread mia moja kwa saa..lakini msimamo uko pale pale.
Uwezi futa ukilaza wa jesca.ukweli utabaki ukweli tu
 
bado anataka mapambano na media??? Jf imekuwa nguzo ya mabadiliko Hilo halipingiki
 
BAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza
Out of watu 7800 ni 88 tu ndio wenye div 4!
Hata hao wenye 4, bado inawezekana walikuwa na vigezo, maana walitakiwa wawe na certificate angalau ya mwaka mmoja!
Kumbukeni hii ni kozi maalum kwa ajili ya kuimarisha shule za kata!
Kesi ya Jesca sio comparative, ni kutaka kupima uadilifu wa msimamizi wa misingi ya utawala bora! Huwezi kuhubiri utakatifu wakati hutendi hayo!
 
Kwa posti achana na mashindano ya ukuu wa wilaya.. hata balozi wa nyumba 10 hupati.
 
Jina lako....linareflect ulichoandika....eti jingalao
 
Achana na kukurupuka, alichokisema Baba Jesca wote tumekisikia na tumekielewa kwamba Wanafunzi wamefukuzwa kwa sababu hawana sifa ya kuwepo UDOM "vilaza" wakatafute chuo size yao. Na kilichosemwa na Waziri wa Elimu ambacho ndio kiko sahihi ni tofauti kabisa.
Tangu lini wewe umekuwa msemaji wa Serikali? Pumba zako peleka lumumba na mwambie Baba Jesca kukurupuka kwake ni chanzo cha majanga makubwa nchini.

Achane kumjadili vibaya Mh Rais, vikao vinaendelea usiku na mchana na uwenda wakati wowote kuanzia next week vijana watarudi chuo kwa vibali maalum.
Hili la UDOM serikali ilitaka kuwapiga stop vijana wote wa vyuoni kutoandamana maana weng wanasoma kwa vibali maalumu hakupaswa kuwa ktk vyuo hivyo.

Pia hakuna mvutano wowote kati ya Rais mstaafu na Magufuli. Ikumbukwe Mh Rais bado anapata maelekezo toka kwa marais wastaafu jinsi yakuongoza taifa na pale anakosea anaonywa kimya kimya.

Hali ya usalama ni shwari na yalio pita si ndwele tugange yajayo.
Hii ndio Tanzania sikio halizidi kichwa. Mungu ibariki Tanzania na Rais wetu.
 
Toa kwanza boliti lenu pale udom ili muone kibazi kwa wengine.eti kishoa.uoni aibu Kama wapenda haki Toeni kilaza wenu Jesca hana sifa za kuwa pale.
Hivi kishoa ana elimu gani?
 
Kosa la ndalichako ni lipi mkuu?
akiwa kama waziri mwenye dhamana,yaelekea hakumpa fact zote rais kuhusu hilo suala,ama alimpamaelezo yasiyotosheleza kitu kilichopelekea Rais kuassume kwamba wanafunzi wote walioingia katika mpango huo ni wale waliofail,jambo lilomkasirisha rais kwamba itakuaje serikali isomeshe chuo kikuu watu waliofail,ni wazi kuwa waziri angempa maelezo sahihi,rais hangeweza kujikuta kwenye impossible situation kama alivyojikuta katika sakata hili
 
BAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza

Umezidisha kitwanga naona!
 
Back
Top Bottom