MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Kwa mwandiko huu inaonesha dhahiri umejitekenya mwenyewe. Acha tetesi wewe jescaBAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza