General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Tatizo hawa kina ndalichako wanaogopa kumwelewesha rais haya mambo sawasawa.
Ningekuwa mimi magufuli ndalichako ningempa transfer akawe ofisa mifugo huko meatu,kwa uzembe
Alirisiti shule ya chumbani kwenu?BAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza
Mkuu mimi form four nimemaliza mwaka 2001 so ongea jingine bwege wewe.Endelea kumtajataja popoma wewe....unadhani ndo utarudi chuo na divisheni thrii yako ya point 24
Uwezi futa ukilaza wa jesca.ukweli utabaki ukweli tuMkuu yaani watakaorudishwa ni wale tu wenye sifa...kama ni mjadala wa Jesca yaani endeleeni ikiwezekana anzisheni thread mia moja kwa saa..lakini msimamo uko pale pale.
Out of watu 7800 ni 88 tu ndio wenye div 4!BAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza
Mkalishe kwanza kilaza JescaBavicha kasomeni maelezo ya Ndalichako muelewe...vilaza lazima wakalishwe tu hamna namna
Imfikie hasa.....amejitahd kuisemea serikali...Asante kwa taarifa msemaji mkuu waserekali.
Habari zikufikie mtoa POST.
Jesca kishoa au?Mkalishe kwanza kilaza Jesca
Achane kumjadili vibaya Mh Rais, vikao vinaendelea usiku na mchana na uwenda wakati wowote kuanzia next week vijana watarudi chuo kwa vibali maalum.
Hili la UDOM serikali ilitaka kuwapiga stop vijana wote wa vyuoni kutoandamana maana weng wanasoma kwa vibali maalumu hakupaswa kuwa ktk vyuo hivyo.
Pia hakuna mvutano wowote kati ya Rais mstaafu na Magufuli. Ikumbukwe Mh Rais bado anapata maelekezo toka kwa marais wastaafu jinsi yakuongoza taifa na pale anakosea anaonywa kimya kimya.
Hali ya usalama ni shwari na yalio pita si ndwele tugange yajayo.
Hii ndio Tanzania sikio halizidi kichwa. Mungu ibariki Tanzania na Rais wetu.
Jesca kishoa au?
Toa kwanza boliti lenu pale udom ili muone kibazi kwa wengine.eti kishoa.uoni aibu Kama wapenda haki Toeni kilaza wenu Jesca hana sifa za kuwa pale.Jesca kishoa au?
Hivi kishoa ana elimu gani?Toa kwanza boliti lenu pale udom ili muone kibazi kwa wengine.eti kishoa.uoni aibu Kama wapenda haki Toeni kilaza wenu Jesca hana sifa za kuwa pale.
kwani huyu jesca ni nani mbona naona anatajwa sana mara jesca mara baba jesca.Warudishwe wote ili mjadala wa Jesca uishe
akiwa kama waziri mwenye dhamana,yaelekea hakumpa fact zote rais kuhusu hilo suala,ama alimpamaelezo yasiyotosheleza kitu kilichopelekea Rais kuassume kwamba wanafunzi wote walioingia katika mpango huo ni wale waliofail,jambo lilomkasirisha rais kwamba itakuaje serikali isomeshe chuo kikuu watu waliofail,ni wazi kuwa waziri angempa maelezo sahihi,rais hangeweza kujikuta kwenye impossible situation kama alivyojikuta katika sakata hiliKosa la ndalichako ni lipi mkuu?
Njaa mbaya.mwezio aliuza haki ya mzaliwa wa kwanza kwa chakula cha siku moja.Hivi kishoa ana elimu gani?
BAVICHA wametangaza kusimamia kesi za vilaza wenzio, wanajadili jesca kama compensation level, bila kuhoji aidha ali re-sit na kupata credit, hata kama hakure- sit, kuchaguliwa kwake si tija kwa vilaza wengine, vilaza mtafukuzwa tu hakuna namna, na hakuna mahakama ya vilaza, wenda mboyii awe hakimu kube awe karani, lem polis kesi inaweza kushinda, kwakuwa wote vilaza watasimamia kesi ya vilaza