- Thread starter
- #21
01 November 2022
Bungeni
Dodoma, Tanzania
HESLB yaitwa kujieleza bungeni// Mkenda awacharukia
Prof. Adolf Mkenda waziri wa elimu ashangaa timu yake ya uchunguzi kutoka Tanganyika na Zanzibar kupigwa vita isichunguze nani anastahiki kupata mkopo wa HESLB, waziri anasema hii inamshawishi kuwa kuna madudu mengi kama mkopo kutolewa kwa wanafunzi wanaotoka familia zinazojiweza.
Source : mwananchi digital
Bungeni
Dodoma, Tanzania
HESLB yaitwa kujieleza bungeni// Mkenda awacharukia
Prof. Adolf Mkenda waziri wa elimu ashangaa timu yake ya uchunguzi kutoka Tanganyika na Zanzibar kupigwa vita isichunguze nani anastahiki kupata mkopo wa HESLB, waziri anasema hii inamshawishi kuwa kuna madudu mengi kama mkopo kutolewa kwa wanafunzi wanaotoka familia zinazojiweza.
Source : mwananchi digital