#COVID19 Wanafunzi waanza kufaidi madarasa yaliyojengwa kwa Pesa za Tozo na mkopo wa COVID-19

#COVID19 Wanafunzi waanza kufaidi madarasa yaliyojengwa kwa Pesa za Tozo na mkopo wa COVID-19

Wazo Kuu

Senior Member
Joined
Oct 21, 2018
Posts
114
Reaction score
295
WhatsApp Image 2022-01-17 at 20.10.06.jpeg

Wanafunzi wa Kidato cha 1 kwa mwaka wa masomo 2022 ambao wameanza kutumia madarasa mapya yaliyojengwa kutokana na fedha za mpango wa maendeleo kwa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19.

Tukio tukio limefanyika katika Shule ya Sekondari Karibuni ambapo DC Jokate ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa na ametoa wito kwa Wazazi kuendelea kuwahimiza Watoto wao kwenda Shule.

"Nafarijika kuona muitikio wa Wazazi kuwapeleka Watoto wao kujiandikisha umekuwa mkubwa na hii imetokana na hamasa iliyoanzishwa na Rais Samia, ameonesha kipaumbele ameonesha moyo wake upo kwa Watoto, kwa Vijana na kwenye Jamii, leo tumekuja kuwaonesha kuwa maono ya Rais Samia yametimia"

"Ujenzi wa vyumba vya madarasa 157 haijawahi kutokea kwa wakati mmoja ni mradi tulioukamilisha ndani ya muda mfupi wa miezi miwili, kama Wilaya tutaendelea kumuunga mkono Rais kwa vitendo"

My take: Mkopo huu umetumika vizuri, hata sisi wenyewe tunapokopa kwenye vikoba ili tujenge siku ukimaliza nyumba unakuwa unalipa mkopoa ambao matokeo yake unayaona.

Bongo unakuta mtu anasema eti mkopo haufai.
 
Mama siyo mchezo kabisa. Hana kelele mingi na sifa za kukera kama mwendazake. Cheki mambo alofanya mda mfupi. Ile ya madawati ya mwendazake kelele miiingi na mikwara kibao.
 
Kwa Mtizamo wangu ondoa hizo AC hata wanafunzi wakijipepea na madaftari..., badala yake ongeza waalimu wa kuwapa ahueni ya kilichomo kichwani...
 
Mama siyo mchezo kabisa. Hana kelele mingi na sifa za kukera kama mwendazake. Cheki mambo alofanya mda mfupi. Ile ya madawati ya mwendazake kelele miiingi na mikwara kibao.

Hakuna kitu hapo, madarasa ni mchongo kila mwaka utasikia tunajenga…. porojo tu.
 
Tatizo ana tabia zake flani hajaziacha kabisa. Huyo kudanga kama kawaida na uheshimiwa wote Ila tabia hatofautiani na akina Wema au Kajala maana ndio umri wake hao na walikuwa wanagombaniana mabwana.

Mpaka leo hajaacha aisee ni ngumu kuolewa. Ni mzuri Ila katabia haachi mngoni huyo more hela atacikisha Ila sio chini.
 
Nani alikwambia wanaume wanapenda wanawake kwa kuwa ni wachakarikaji? Au wanafanya kazi sana?

Sababu kuu ya mwanamke kuwa kwenye ndoa ni utii kwa mwanaume na sio kutafuta mali sana, wanaume hatupendi stress hasa za mapenzi... Nitoke jib boss kanizingua nifike home mwanamke na yeye analeta ujuaji... Noo
 
Back
Top Bottom