Hapana alikua mtu wa hovyo sana kawafanya watu wameishi maisha ya tabu sana na alikua anafanya vitu kukomoa.QPamoja na Usnitch wake lkn Mchango wake kwako kukubalika na jamii ni mkubwa,asingekuwa snitch inawezekana leo hii ungekuwa mtu wa hovyo sana.
Hao inatakiwa wapelekwe mstari mbele Ukraine wakakutane na wa Chechens[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiku kucha ni kufyeka mahindi tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah we lolHao inatakiwa wapelekwe mstari mbele Ukraine wakakutane na wa Chechens
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu umetisha sanaa.Sina mda aseeh!!yaani km mzazi wako hakusimamii,Mimi ni nani?!!!Wa kwangu ntakomaa na deal na watoto wanaojielewa ukiwa bogus ntaenda na wewe kibogus!
Hiyo ya Aya ya mwisho umemaliza kila kitu. Ubarikiwe sana.Vijana wenyewe hawa? Kama amekwenda moja kwa moja na aliingia shuleni akiwa na umri wa 7yrs sana sana atakuwa age ya 15yrs. Umri huo, na kwa malezi ya siku hizi, sina uhakika kweli kama anajua future yake. Mbona ndo wengi wa hawa tunaowaona mitaani suruale kavaa/kaninginiza, majigambo mengi, kazi za suluba/zinazohitaji kutumia akili na nguvu hawazitaki? Kumbuka kwa Umri huo hawezi kushitakiwa(Labda mazingira maalum),hawezi kuajiriwa kwenye Institution yoyote. Labda U-house boy! Ana future gani aijuaye huyo? Anakula ugali wa shikamoo maisha yanaendelea.
Nakubaliana nawe 100% matumizi ya cm inahitaji marekebisho mapya. Yaani labda cm zao zizuiliwe wasiwe na Other uses - mfano wake ni kama Tz. ilivyozuia porn websites kwa Jamii juzi-kati hapa. Kwa maana kwamba mwanafunzi hawezi kutumia cm yake tofauti na shughuli za kitaaluma tu.
🙏Hiyo ya Aya ya mwisho umemaliza kila kitu. Ubarikiwe sana.
Naam. 🙏🙏 Tuko pamoja bro. Vijana wasipojengwa sasa, tutakuja kujikuta hatukuwatendea haki na tulizembea katika "Samaki mkunje akingali mbichi"Ni kweli Mkuu kinachotakiwa ni elimu mahsusi zitolewe kuhusu Internet kiujumla hii inabidi ianzie ngazi za chini kuwashape vijana,japo itakua ngumu ila itasaidia mbeleni zamani Wakati ugonjwa wa UKIMWI unaingia bongo watu walificha maradhi na kuwalisha sumu mbaya vijana na watoto eti
Ni ugonjwa wa kurogwa wengi wakafia Kwa waganga wa kienyeji wakiaguliwa wakidhani wamelogwa kumbe sivyo,
Ilipokuja swala la elimu ya kujikinga watu walipoambiwa watumie kondom ilikua kama dhambi kutamka neno kondom Kwenye Jamii madhara yake tukapoteza ndugu zetu wengi Kwa kukumbatia fikra mfu na za kijinga Tena wengine wakiwa wasomi kabisa walishindwa toa taarifa sahihi Kwa Jamii
Mpaka Leo madhara tunayaona ya ule uzembe,
Pia kuhusu Hilo la simu mashuleni iwe ni Moja ya Elimu na Kwa vitendo maana vijana wengi wakitoka Huko mashuleni
Na kwenda chuo kitu Cha kwanza hua ni kumiliki simu janja kutokana na ukosefu wa exposure na Elimu kuhusu Internet kiujumla
Madhara yake zinageuka Camera za kurekodia video za ngono,kubase Kwenye kufuatilia mambo ya kipumbafu,kuwaingiza Kwenye maisha fake wanayoyaona mtandaoni hasa Kwa mabinti na vijana mwishowe huingia Kwenye vishawishi vya ngono na kujiuza
Nadhani unalijua balaa la watoto wa chuo na uchafu wao Kwenye mitandao mfano
Wazeee wa konection SI unawajua😁😁🔥🔥
Ile yote ni madhara ya kuzuia vitu ambavyo inawapasa wavijue Kwa Muda mwafaka wakiwa Bado wabichi endapo wangekua wameiva Toka udogoni Kwa kuchukulia ni swala la kawaida hata isingekuja kua nongwa wakifika stage ya kutumia maana Wana Elimu sahihi itakayowasaidia kuchuja mambo!
Kwamba huoni Mchango wake hata kidogo??.Hapana alikua mtu wa hovyo sana kawafanya watu wameishi maisha ya tabu sana na alikua anafanya vitu kukomoa.
Hivi kwa akili zako unadhan wewe ndiye unaye ijua technology vizuri zaid sio?wewe pia inaonekana ni mjinga sana Tena inawezekana ni wale first class,unadhani hizo simu nazozungumzia Mimi ni vitoch vya kuchatia?
Hapa nazungumzia simu zenye devices za internet Ili kuwezesha masomo kiurahisi tatizo lako una fikra za kizamani sana,
Ninao mfano hai wa mdogo Wangu aliyepo mkoani
Yupo kidato Cha 4 now na alianza kumipiki simu yupo kidato Cha pili
Dogo alikua slow Kwenye masomo yake mpaka Kuna muda alitaka aache shule ila alivyojua kutumia smart phone alianza kujifunza vitu vingi vya faida Kwenye masomo kitu kilicho mfanya awe updated sana na Dunia
Hua anakili kabisa Bila simu Kwa nature ya shule za kata zilivyo asingetoboa
Hata Mimi Kuna muda hua najilaumu Kwanini nilikua nyuma ya wakati endepo ningeanza kumiliki device Yenye internet kipindi nasoma ingenisaidia sana
Maana baada ya kuhitimu kidato Cha nne ndani ya miezi michache niliyokua kitaa na simu janja nilijifunza mambo makubwa na chanya ndani ya muda mfupi sana ambayo hata Wewe najua huyajui na huo ukubwa wako!
Grow up dude Dunia ipo Kwenye mabadiliko wewe endelea kutetea ujinga!
Hovyo kabisa halafu Ndio fikra kama zako zisaidie kuifikia Tanzania ya maendeleo ya science na Teknolojia Kwa Akili kama hizo thubutu
Endelea na Marufuku Kwa Kila kitu Cha faida wakati wenzenu wapo hatua mia Moja mbele Yenu!
Shwain!
Nimesoma nimeelewa halafu kingine acha ushamba wa kumuatack mtu personal jadili hoja Kwa hoja sio viroja unaonekana ni mtu mzima ila ni wale dizain ya corrupted brainHivi kwa akili zako unadhan wewe ndiye unaye ijua technology vizuri zaid sio?
Kwanza kwa mtiririko wa wa uandishi unaonesha kabisa hizo simu uneanza kutumia juzi tu hivyo una ulimbukeni
Lakin kingine naona hadi sasa hujui mjadala hasa wa hapa ninini? Sasa kuendele na wewe ni kupoteza mda wangu.
Hamna kitu yeye ni kutafuta makosa kwa Wanafunzi kila siku.Kwamba huoni Mchango wake hata kidogo??.
We ni mjingaMwenge Secondary kuna O Level? Huyo mwanafunzi aliyeadhibiwa n wa kidato cha 6.
Ila walimu wengine waache unoko na ukuda, japo sitetei kitendo kilichofanywa na wanafunzi hao. Msieeew
Unakazaa utadhani hujawahi kula watoto wa watu enzi za ujana wakoSasa ujaribu tena tukupe dudu ya makalio. Katongoze wakubwa wenzio sio mnadanganya watoto wasio na akili ya ukomavu
Duh!!!,Wee jamaa, Mbona huyo ndio Mwalimu mzuri kwasababu anarekebisha tabia za Wanafunzi.Kawaida ya Mwalimu mzuri huwa hapendwi na Wanafunzi.Hamna kitu yeye ni kutafuta makosa kwa Wanafunzi kila siku.
Shule za Serikali ndio maana mitoto hufeliIla haya mambo ya simu kwa Wanafunzi serikali inabidi waangalie tena sababu za kuwakataza simu wanafunzi. Things have changed.... waweke utaratibu rasmi tu wa matumizi ya simu hasa katika shule za boarding kwa A-level.
Mwaka 2012 tulishawahi fanya kama hao wanafunzi ilikua Iyunga Tech Mbeya ofisi ya Mwalimu wa Nidhamu tuliijaza maji na nyumba yake ikapigwa mawe usiku kucha. Kisa ilikua issue hii hii ya simu.
Ila yule Mwalimu alikua Snitch sana.
Msimtetee hamumjui na sio kurekebisha yeye alikua anakuharibia hakuna msamaha wala kukosea kwa bahati mbaya ukiingia kwenye 18 zake imekula kwako.Duh!!!,Wee jamaa, Mbona huyo ndio Mwalimu mzuri kwasababu anarekebisha tabia za Wanafunzi.Kawaida ya Mwalimu mzuri huwa hapendwi na Wanafunzi.
Poaaaah[emoji120]
Kwa ulivyoandika unaonyesha unapendelea wanafunzi wamiliki siku mashuleni,wazitumie kadri ya akili zao zitakavyowatuma.Una maono mazuri sana,hongera.Mwenge Secondary kuna O Level? Huyo mwanafunzi aliyeadhibiwa n wa kidato cha 6.
Ila walimu wengine waache unoko na ukuda, japo sitetei kitendo kilichofanywa na wanafunzi hao. Msieeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwalimu mbna povuu? Acheni ukuda na unoko na mtapigwa tyuuh. Pambaneni na maisha yenu binafsi woiiiiiiih.We ni mjinga
Ndugu sio kila kitu ni Cha kuruhusu kisa teknologjia, utamadun Wetu Bado haujafikia wa wenzetu, mwanfunzi amiliki simu hiki kizazi Cha kuvunja ungo na balehe utegemee wasome.. Leo hio kuna watu wanafanya Kazi na hawaruhusiwi kubaki na simu zao kazini wanachukua jion wakitoka,, Kama kuna dharura inatumika simu ya ofisi... Je Kwa mtoto je?? Acha copy and pasteSheria za kipumbavu tu watu wapo smart world nyie mnaendelea kushikilia masheria ya kikoloni zama hizi wanafunzi wa secondary waruhusiwe kumiliki smart phone ziwasaidiek masomo Yao nchi nyingi tu hasa za Asia mfano Philippine,Hongkong,Thailand watoto wa sekondary kumiliki Simu ni kitu Cha kawaida tu Tena Zina msaada mkubwa sana huko ndiko kinakotoka kizazi Cha smart world wanajua Kila kitu wale sisi huku kijana wa Miaka 17 hajui hata kuwasha computer Wala hajui google ni Nini
Halafu ndio utegemee mageuzi ya kisasa Kwa Jamii kalagha bhaho
Tutaendeshwa na wachina na wahindi mpaka kiama!