crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Yaani hii kama imeandikwa na mtu aliyekuwa Chuo Kikuu na anapinga kuitwa ki_aza, kuna tatizo kubwa sana. Uandishi gani huu? Tuache hivyo vidogo, ujumbe sasa! Yaani mtu kafukuzwa chuo na siku hiyo hiyo imebidi ajiuze!! Did I miss something here?