Tetesi: Wanafunzi waliotimuliwa UDOM kuungana na BAVICHA tarehe 23 Julai

Humo kwenye nyota nyota ni maneno gani yameondolewa? Au ni matusi? Maana kuna neno alitamka rais ambalo kinyiume chake ni Kipanga siku hizi ukiliandika linawekewa nyota nyota. Sasa neno alilolitamka rais hadharani inakuwaje lionekane halifai? Hii si ni sawa na kumsuta rais? Acheni liandikwe hivyo hivyo kama alivyolitamka yeye. Sasa hata jina la yule msichana nalo eti linawekewa nyota wakati ntu yupo na jina lake ni zuri tu na sio tusi?
 
Kumbe nauli ya kuchezea wanayoee?

Sasa ole wao tusikie wanajiuza tena.
 
Mbona huilaumu serikali iliyosababisha haya bali unasifia hii inayorekebisha utafikir wapinzani ndio walikuwa wanaongoza nchi, idiota. Hao waliowapa nafasi watu wasiostahili Mbona huwasemi? Hao wanafunzi wangefuata utaratbu wa kawaida leo wangekuwa wapi? Think acha ushabiki mi nakipenda hcho chama chako kuliko wewe, kunapokuwa na kosa jifunze kukubali.
 
Binafsi siamini kama itatokea hili kusanyiko. Siamini!
Maneno yana impact kuliko hata kwenda kabisa. Utakuta siku hiyo polisi wanaandaa silaha nzito, magari ya kuwasha, na hata kukodi polisi wengine kutoka mikoa jirani. Harafu vijana hawaji. Nani ataondoka na hasira.
 
Mh kwenye kurudisha kadi kumbe mlienda kichama kwaiyo mlipangwa wote ccm duh haya kumbe wenzenu ampigwi mabimu nendeni tu nyie ndugu
 
Duh shughuli pevu Dodoma . Wengine wamemwaga ugali wengine mboga, ugoko - chuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…