Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Viboko hamtaki kupeleka tofali malalamiko mnatakaje kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali gani hiyo ya kuweka miundombinu ya maji mashuleni kirahisi tu! Kwanza watoto wa hao viongozi wenyewe wa serikali wanasoma shule za private!! Lini wataguswa na matatizo lukuki ya shile za st. Kayumba!Badala kujenga hoja serikali iweke miundombinu ya maji mashuleni, wewe unashabikia watoto kubeba vidumu na kuni!
Tate umepotoka
Wow! This is just so Dumb!Nahuwezi kuwa na mtoto kwa sababu nawewe ni mtoto bado unakula kwa wazazi wako
Tofali zinakusaidia nini mwalimu?Viboko hamtaki kupeleka tofali malalamiko mnatakaje kwani?
Sawa, lakini watoto kubeba madumu na mafurushi ya kuni sio jambo la faraja kama unavyolifurahia.Serikali gani hiyo ya kuweka miundombinu ya maji mashuleni kirahisi tu! Kwanza watoto wa hao viongozi wenyewe wa serikali wanasoma shule za private!! Lini wataguswa na matatizo lukuki ya shile za st. Kayumba!
Hao walimu wanaobuni hizo adhabu za kulipia matofali 3 siyo wajinga! Wanafanya hivyo kwa nia njema kabisa ya kuwasadia hao watoto, na pia serikali yako iliyo wekeza nguvu kubwa kwenye siasa, badala ya elimu ya uhakika, nk.
Hazinisaidii chochote, bali zinatumika kwa ujenzi wa mazingira (kutengeneza bustani) kwa manufaa ya watoto wenu.Tofali zinakusaidia nini mwalimu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni soko kuu la mboga mbogaAlfajiri yote hiyo kwani hapo shule ni stendi ya mabasi?
Mbna mashoga wengi ni wagumu, mmmmhSana ndomana watoto wengi wanakuwa laini laini
Mwishowe ndiyo vile tena
Ova
Labda ni syndicate ya walimu na muuzaji wa tofari