DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi niseme tu ukweli isingekua adhabu za shuleni na mzazi kuwa na mimi sambamba kwenye kutengeneza nidhamu !! Ningekua mtu wa ovyo sana! Nisingekua hapa

Kwenye kulea watoto tumia njia zote bakora kiasi, ushauri wa kutosha na adhabu za kumjenga !!
Halafu ukiwa maskini ,umeshindwa kuwapa watoto maisha bora basi , komaa na nidhamu yao wawe watu wa kueleweka maishani !! Watakusifu baadae
Waache wawalegeze watoto wao matokeo hasi maishani watayaona.Wataliwa sana kiboga
 
Kuna shule ukichelewa kumchukua mtoto wakati wa kufunga ni 50,000 kwa saa .Saa kumi na mbili asubuhi wazazi wote tupo getini[emoji28][emoji28][emoji28]

kwa hiyo ni kufuata Sheria bila shuruti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hiyo shule iko mkoa, wilaya gani na ni tofali la nchi ngapi?
 
Waache wawalegeze watoto wao matokeo hasi maishani watayaona.Wataliwa sana kiboga
Mtoto akikosea kubali aadhibiwe , uzuri africa kwa sasa tunaelewa sio bakora tu ! Tuna mbinu zaidi !! Tunakataa ukatili ila adhabu kwa mtoto muhimu !!
Eti toto unalisema kidogo linasusia chakula kabisa !
Mkae mezani uanze kujadiliana nalo 😁😁 wamama wa kinyakyusa ashaligongesha ukutani na unakula uzungu hatuuwezi ! Sisi ni maskini
 
Mtoto akikosea kubali aadhibiwe , uzuri africa kwa sasa tunaelewa sio bakora tu ! Tuna mbinu zaidi !! Tunakataa ukatili ila adhabu kwa mtoto muhimu !!
Eti toto unalisema kidogo linasusia chakula kabisa !
Mkae mezani uanze kujadiliana nalo 😁😁 wamama wa kinyakyusa ashaligongesha ukutani na unakula uzungu hatuuwezi ! Sisi ni maskini
🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 
Watu tumesoma shule ya msingi tumelima
Nyie sshv hamtaki watoto wenu waguswe....ndomana sahv matatizo ya ushg yanaongezeka

Ova
 
Si mlisema hizi ndizo adhabu mnazotaka mbadala wa fimbo!! Imekuwaje tena? Ila watanzania hata hamjui nini mnataka walah
 
Nyie vijana wa siku hizi ndo maana mnakuwa mashoga. Tofali 5 tu unalalamika na kuja anzisha uzi? Kama hutaki hama hiyo shule. Mi nawapongeza sana walimu wa hiyo shule kwa kujenga nidhamu na kugawa ujuzi. So mwanafunzi achague kufyatua au kununua ni juu yake. Na awe na nidhamu pia. Hapo hata hamu ya kuwa shoga inamuisha. Nyie mmekuwa nyolonyolo sana mnajiona kama wanawake na mwishowe ndo mnaliwa.
Kuna ujuzi wa kununua tofali soma vizuri, au unazungumzi ujuzi wa kuiba hela unafikiri watoto wrote watasema nyumbani kuwa wanatakiwa kununua tofali? Unamwambia mtoto akanunue tofali akuletee? Mpe mchanga na cement apige uone kama tutaongea,
Tuna tatizo kubwa la uelewa, hakuna anaepinga mtoto kufanya kazi kama kupiga tofali tunapinga kumwambia akuletee tofali 5 wakati mchanga wala cement hujampa, acha vibao na mashine au unataka akaibe tofali mwisho wamchome, watu wengi wanjibu bila kuelewa logic behind
 
Vitoto vimekuwa mayai mayai mno.
Kumtoza mtoto hela kunamsaidiaje asiwe shoga? Mpe cement na mchanga apige tofali si kumwambia akanunue, pesa atapata wapi au ndio aanze ushoga ili apate pesa maana hafanyi kazi fikiri nje ya box
 
Kumtoza mtoto hela kunamsaidiaje asiwe shoga? Mpe cement na mchanga apige tofali si kumwambia akanunue, pesa atapata wapi au ndio aanze ushoga ili apate pesa maana hafanyi kazi fikiri nje ya box
Wewe mzazi wake ndio umpe huo mchanga na simenti afyatue hayo matofali. Usimpe hela.
 
Pasua kichwa hiyo hatari ,lazima wanafunzi watuibie tofali tulizozitunza!!! ,

Walimu wanajenga Nini!? ,nishule za kayumba au!?
 
Wewe mzazi wake ndio umpe huo mchanga na simenti afyatue hayo matofali. Usimpe hela.
Lini baba yako aliadhibiwa kwa kosa lako kuchelewa darasani au kuchelewa kumaliza kazi ya darasani?
 
Tumesomba mawe, kuponda kokoto, kufyatua tofali, kuchimba na kusawazisha maeneo kama greda.

Wewe umesomea wapi? Au bas inawezekena ni wa kishua
imekusaidia nini zaidi ya kuwa hohehahe unayetanga tanga mitandaoni?
 
Sawa kujenga shule ni kazi ya Serikali ila uongozi wa shule hauzuiwi kufanya maendeleo yanayoinufaisha shule ndio maana zamani kulikua na mashamba ya shule na miradi mingine mbalimbali. Narudia tena kama hiyo adhabu haimnufaishi mwalimu binafsi idadi za matofali ziongezeka tena kwa sasa naoendekeza ziwe 58 kwa kila adhabu
Acha kiherehere.

Kujenga shule sio kazi yako.

Tafuta hela mwalimu. TAFUTA HELA.
 
Back
Top Bottom