Wanafunzi wawili wafariki kwa kukosa hewa wakitoa maharage kwenye pipa

Mungu awalaze mahali pema.
Kuna asilimia kubwa hao marehemu waliingia huko kwa lengo la kujificha, maisha ya boarding wanafunzi wengi wanawaza kujificha, kukweka kazi au adhabu.
 
Picha ya tenki tafadhali
 
Maskini wanafunzi! Walazwe pema na kwa Amani.

Tukio kama hili lingeweza epukika kama wahusika wangefuata 'taratibu au kanuni ya kuingia kwenye nafasi funge' yaani 'Entering confined space safety procedure'.

Elimu kwa wananchi inabidi kutolewa ipasavyo na taasisi husika kuhusiana na vihatarishi vinavyotuzunguka katika sehemu zetu za kazi na kadhalika katika maisha yetu ya kawaida.

Baadhi ya vyanzo vya vifo vitokanavyo na ukosefu wa hewa ya oksijeni ni pamoja na:
-Nafasi funge au 'confined space'
-Mashimo na mitaro funge ya maji taka
-Majiko ya mkaa
-Migodi ya chini ya ardhi au 'underground mines'

Wananchi wakielemishwa vyema hakika vifo vya aina hii vitaepukwa au kupungua kwa kiasi kikubwa.
 
Bila picha ya pipa tutajiukliza sana, pipa limeua kwa mda mfupi sana au kulikuwa na kitu zaidi ya kukosa hewa, yaani mmoja ameingia akaanza kupiga kelele mwenzake akaiingia kwenda kumuokoa wote wamepoteza maisha, walikaa mda gani humo ndani ya pipa.
 
Nchi hii ngumu sana
Yaani hii nchi ni ngumu vibaya mno yaani mimi kama mzazi nilipe ada alafu bado nisikie mtoto wa miaka hiyo anafanyishwa kazi ambazo hata mfanyakazi hafanyi nitatoa mtu roho, wachagga acheni ukuda wa kutumikisha wanafunzi kwenye shule zenu za kikatoliki.
 
Aliewatuma naona saa hizi sijui atakuwa na Hali gani.
 
Mungu awalaze mahali pema.
Kuna asilimia kubwa hao marehemu waliingia huko kwa lengo la kujificha, maisha ya boarding wanafunzi wengi wanawaza kujificha, kukweka kazi au adhabu.
Wasoma Heading.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…