Wanafunzi wenye IQ kubwa ni wale waliopata division 1 shule za kata hasa vijijini, wana upeo mkubwa wa kusoma bila walimu, tuition, past papers

Mawazo mengine ya ajabu sana! Hebu tumieni akili zenu vizuri
Unamaanisha mwanafunzi mwenye IQ kubwa akisoma shule ya private ile IQ yake haipo tena???
Hebu fuatilia vizuri uone wanasayansi wenye IQ kubwa Duniani uone kama walisoma shule za aina gani?
Umeenda mbali sana huku shule za serikali zina kila kitu kifupi serikali imewekeza kwenye elimu
 
Yani akufaulu wa shule ya kata kakariri sio 😂🤣
 
Inapimwa Kwa uwezo wako WA kuleta positive impacts kwenye jamii yako Kwa namna ya upekee, na sio Kwa kupata A saba zote kwenye mitihani ya necta, Halafu wakati huo hata tukikwambia utuletee mpango kazi wa kutokomeza wizi wa TV uliotamalaki huwezi.
Jibu zuri sana hili ✅
 
We unajua ya seminari hujui ya nje ya hapo, hakuna ukwl wwte
 
Kuteseka sio achievement au sifa.
 
Hao wote ni wanakariri. Upeo mkubwa ni mwanafunzi wa shule ya Kata aliyepata 3 na akaenda a level akapata 3 nyingine kisha mnamkuta chuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…