Ya kale dhahabu
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 317
- 495
Umeenda mbali sana huku shule za serikali zina kila kitu kifupi serikali imewekeza kwenye elimuMawazo mengine ya ajabu sana! Hebu tumieni akili zenu vizuri
Unamaanisha mwanafunzi mwenye IQ kubwa akisoma shule ya private ile IQ yake haipo tena???
Hebu fuatilia vizuri uone wanasayansi wenye IQ kubwa Duniani uone kama walisoma shule za aina gani?
Yani akufaulu wa shule ya kata kakariri sio 😂🤣Ambaye hajapita hizo shule hawezi kukuelewa. Just imagine unaingia form one unaanza kufundishwa na mtu kama Askofu Renatus Nkwande, hivi hiyo bahati ya kufundishwa na genius kama huyo utapata wapi? Hapo mwanafunzi anapigishwa topic anailewa nje ndani na siyo kukariri kama hao mnaowafisia wa shule zenu za kata.
Maboresho ya kupaka rangi majengo ?Umemaliza lini pale? Kwenye utawala wa Magu kuna maboresho yalifanyika.
Ulitaka waache hivyohivyo bila kurekebisha? Hapo kwako dirisha likiwa bovu hutarekebisha?Maboresho ya kupaka rangi majengo ?
Kuweka madirisha vioo ?
Kurekebisha vyoo ?
We kwl ni kimaAkili za kimaskini.
Kima babako we mbwa Koko, ht we bado ni maskiniWewe kima huna shule...
Acha kuwaonea wivu watoto.....
Tafuta hela mpeleke mtoto shule nzuri kwa ajili ya better tomorrow...pole
Jibu zuri sana hili ✅Inapimwa Kwa uwezo wako WA kuleta positive impacts kwenye jamii yako Kwa namna ya upekee, na sio Kwa kupata A saba zote kwenye mitihani ya necta, Halafu wakati huo hata tukikwambia utuletee mpango kazi wa kutokomeza wizi wa TV uliotamalaki huwezi.
We ni wazi huna akili, hujaelewa ht post. Una stress ya ufukaraWewe kima huna shule...
Acha kuwaonea wivu watoto.....
Tafuta hela mpeleke mtoto shule nzuri kwa ajili ya better tomorrow...pole
We unajua ya seminari hujui ya nje ya hapo, hakuna ukwl wwteHapana. Hii ya kufundisha namna ya kujibu maswali badala ya topic nzima ipo kwenye shule za serikali hasa advanced level.
Hizo shule za kanisa kama St.Francis na seminary huwa wanafundishwa topics zote za silabasi nzima kwa uelewa mpana. Halafu wanafunzi huwa wanalala mapema tu,hawakeshi wanasoma kama Ilboru au Kibaha .
Baadhi ya walimu wanaomfundisha mwanafunzi wa form one seminary kama mapadri unakuta wana elimu yenye level ya kumfundisha mwanafunzi wa chuo kikuu. Mapadri wanapofundisha wanafunzi unakuta wanaichimba topic mpaka kwenye extra ordinary level . Automatically mwanafunzi anayepata bahati ya kufundishwa na ma-philosopher kama hawa lazima atakuwa na I.Q kubwa.
Halafu seminarini au hizi shule za kanisa huwa hawadekezi wanafunzi. Mbali na kusoma , mwanafunzi ana fundishwa kuheshimu muda na kufanya kazi haswa. Mimi kwa uzoefu wangu seminarini muda kujisomea binafsi ulikuwa ni limited na ni mchache sana lakini tulifaulu vizuri.