Wanafunzi wenye IQ kubwa ni wale waliopata division 1 shule za kata hasa vijijini, wana upeo mkubwa wa kusoma bila walimu, tuition, past papers

Wanafunzi wenye IQ kubwa ni wale waliopata division 1 shule za kata hasa vijijini, wana upeo mkubwa wa kusoma bila walimu, tuition, past papers

HUNA AKILI,NA AINA YA WATU WALIOJAA KATIKA HII NCHI😁😁😁.YAANI WEWE PESA ZA DILI UNAHESABU NAYO NI PESA.KITU AMBACHO LEO UNACHO KESHO HUNA HIVI WEWE HICHO KICHWA KUNA UBONGO KWELI.

HUKO HALMASHAURI WATU WAMEPAUKA,WATU WAMEFUBAA KWAANZIA AKILI,NAFSI MPAKA MIILI NA MAVAZI.ALAFU ANATOKE MJINGA MMOJA HAPA UNASEMA NINI.

HIZO AJIRA ZA HALMASHAURI AMBAPO HAWANA ALLOWANCE YOYOTE,HAWANA EXTRA TIME,HAWANA SEMINA,HAWANA INCENTIVES UNAONA HUKO NI SAWA NA KWENYE TAASISI,MAKAMPUNI AU NGO'S WEWE UKAPIMWE MKOJO UTAKUWA UNATUMIA MIHADARATI🤝

📌📌📌MWANAO ANAASILIMIA NGAPI KUPATA HICHO KITENGO CHENYE PESA ZA DILI???!!
MM SIJAAJIRIWA, SITEGEMEI KUAJIRIWA NA WALA HAKUNA MWANANGU ATAKAE AJIRIWA, TAFUTA HELA USIKODOLEE MACHO AJIRA KENGE WEWE!
 
Hawasimamiwi wala kulazimishwa kusoma kama wenzao wanaosimamiwa kuanzia saa 11 alfajri hadi usiku, wao tayari wamejiongeza wenyewe kwa akili za ziada

Wana msaada kidogo kutoka kwa walimu wanaofika mara chache madarasani, vitabu vichache, n.k. kwa asilimia kubwa hujisomea kivyao ila wana IQ kubwa sana ya kujindisha kwa materials chache. unaweza kumpa notes chache akamzidi yule aliesoma vitabu vitano

Wana IQ kubwa ya kutatua maswali mapya, ni tofauti na wenzao wanasolve maswali ya pastpapers kama yote, swali moja mwalimu anazoesha wanafunzi namna ya kulijibu mara nyingi, mitihani ya taifa ikija hakuna maswali mapya, wanatiririka tu.

Hawa watu ni multi purpose, Wana IQ kubwa ya kufanya mambo mengi kwa wakati moja, Nje ya kusoma wanafanya shughuli kadhaa za kuongeza kipato cha familia kama kulima, wanajipikia, wanatembea kila siku kwenda shuleni, mambo kibao ya mtaani wakiwa nyumbani, n.k. ni tofauti na wenzao asubuhi mpaka usiku ni kusoma tu
Ni KWELI mkuu
 
Huyo ni mimi, Sijawahi soma pastpapers, Kuandika notes wala kusoma usiku.

Home ilikua kazikazi, kulishia ngomb'e sometime hadi saa5 usiku, asubuhi umwagilie mboga uchelewe school.

Ila sijawahi drop pale top3.

Hiyo ni Fact.
Uhakika mkuu
 
Kuna tatizo kubwa sana na elimu ya sasa.
Nadhani wanatakiwa kubadili mfumo mzima wa elimu.
Hawa watoto wakifika vyuoni, unaona uwezo wao ni wa kawaida sana!

Watu wanatoka na GPA kubwa ila cha ajabu unaona bado kuna vitu vingi vinapungua

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hawasimamiwi wala kulazimishwa kusoma kama wenzao wanaosimamiwa kuanzia saa 11 alfajri hadi usiku, wao tayari wamejiongeza wenyewe kwa akili za ziada

Wana msaada kidogo kutoka kwa walimu wanaofika mara chache madarasani, vitabu vichache, n.k. kwa asilimia kubwa hujisomea kivyao ila wana IQ kubwa sana ya kujindisha kwa materials chache. unaweza kumpa notes chache akamzidi yule aliesoma vitabu vitano

Wana IQ kubwa ya kutatua maswali mapya, ni tofauti na wenzao wanasolve maswali ya pastpapers kama yote, swali moja mwalimu anazoesha wanafunzi namna ya kulijibu mara nyingi, mitihani ya taifa ikija hakuna maswali mapya, wanatiririka tu.

Hawa watu ni multi purpose, Wana IQ kubwa ya kufanya mambo mengi kwa wakati moja, Nje ya kusoma wanafanya shughuli kadhaa za kuongeza kipato cha familia kama kulima, wanajipikia, wanatembea kila siku kwenda shuleni, mambo kibao ya mtaani wakiwa nyumbani, n.k. ni tofauti na wenzao asubuhi mpaka usiku ni kusoma tu
unaijua IQ kweli? yaammni uwezi wa kukariri ndio ije kuwa IQ?acha ujinga
 
Hawasimamiwi wala kulazimishwa kusoma kama wenzao wanaosimamiwa kuanzia saa 11 alfajri hadi usiku, wao tayari wamejiongeza wenyewe kwa akili za ziada

Wana msaada kidogo kutoka kwa walimu wanaofika mara chache madarasani, vitabu vichache, n.k. kwa asilimia kubwa hujisomea kivyao ila wana IQ kubwa sana ya kujindisha kwa materials chache. unaweza kumpa notes chache akamzidi yule aliesoma vitabu vitano

Wana IQ kubwa ya kutatua maswali mapya, ni tofauti na wenzao wanasolve maswali ya pastpapers kama yote, swali moja mwalimu anazoesha wanafunzi namna ya kulijibu mara nyingi, mitihani ya taifa ikija hakuna maswali mapya, wanatiririka tu.

Hawa watu ni multi purpose, Wana IQ kubwa ya kufanya mambo mengi kwa wakati moja, Nje ya kusoma wanafanya shughuli kadhaa za kuongeza kipato cha familia kama kulima, wanajipikia, wanatembea kila siku kwenda shuleni, mambo kibao ya mtaani wakiwa nyumbani, n.k. ni tofauti na wenzao asubuhi mpaka usiku ni kusoma tu
Kuna jamaa nilisoma naye Tabora boys, alisoma olevo shule ya kata, kwa sasa ni Katibu Tawala huko Msumbiji
 
Hapana. Hii ya kufundisha namna ya kujibu maswali badala ya topic nzima ipo kwenye shule za serikali hasa advanced level.

Hizo shule za kanisa kama St.Francis na seminary huwa wanafundishwa topics zote za silabasi nzima kwa uelewa mpana. Halafu wanafunzi huwa wanalala mapema tu,hawakeshi wanasoma kama Ilboru au Kibaha .

Baadhi ya walimu wanaomfundisha mwanafunzi wa form one seminary kama mapadri unakuta wana elimu yenye level ya kumfundisha mwanafunzi wa chuo kikuu. Mapadri wanapofundisha wanafunzi unakuta wanaichimba topic mpaka kwenye extra ordinary level . Automatically mwanafunzi anayepata bahati ya kufundishwa na ma-philosopher kama hawa lazima atakuwa na I.Q kubwa.

Halafu seminarini au hizi shule za kanisa huwa hawadekezi wanafunzi. Mbali na kusoma , mwanafunzi ana fundishwa kuheshimu muda na kufanya kazi haswa. Mimi kwa uzoefu wangu seminarini muda kujisomea binafsi ulikuwa ni limited na ni mchache sana lakini tulifaulu vizuri.
Wakitoka hapo hizo akili zinapotelea wapi? Hakuna kitu hapo,
 
Ukiona mtu kapiga ONE shule kama Oljoro Sec, Arusha basi jua huyo ni mwamba. Na mara nyingi hao viumbe huwa breki ni UDSM, MUHAS, SUA, UDOM na MZUMBE. Form six huwa ni uhakika wa ONE. Watoto wanaosoma hizi shule zinazotajwa kuwa ni za kitaifa kama Ilboru, Moshi Tech, Ifunda, Old Moshi, Loleza, Weruweru, Tanga tech na zingine hawana sababu zozote za kutopata ONE au TWO. Hizo shule zina kila kitu kuzidi hata Private School nyingi.
Unaposema Iliboru kuna kila kitu unamaanisha nini ?

Mimi niliyesoma huko nikisikia mawazo yenu huwa nabaki mdomo wazi.
 
"kutengeneza mtoto kuwa na connection"...

Kwanini unaweka huo ulazima?... Kwa maana hiyo licha ya kumsomesha mtoto wako Kwa gharama kuubwa lakini Bado maisha yake yatakuja kuamuliwa na connection za watu?
Maisha ni connection ndio maana hata ukiomba kazi huhitajika referees watu wanaokujua wenye hadhi zao
 
Hawasimamiwi wala kulazimishwa kusoma kama wenzao wanaosimamiwa kuanzia saa 11 alfajri hadi usiku, wao tayari wamejiongeza wenyewe kwa akili za ziada

Wana msaada kidogo kutoka kwa walimu wanaofika mara chache madarasani, vitabu vichache, n.k. kwa asilimia kubwa hujisomea kivyao ila wana IQ kubwa sana ya kujindisha kwa materials chache. unaweza kumpa notes chache akamzidi yule aliesoma vitabu vitano

Wana IQ kubwa ya kutatua maswali mapya, ni tofauti na wenzao wanasolve maswali ya pastpapers kama yote, swali moja mwalimu anazoesha wanafunzi namna ya kulijibu mara nyingi, mitihani ya taifa ikija hakuna maswali mapya, wanatiririka tu.

Hawa watu ni multi purpose, Wana IQ kubwa ya kufanya mambo mengi kwa wakati moja, Nje ya kusoma wanafanya shughuli kadhaa za kuongeza kipato cha familia kama kulima, wanajipikia, wanatembea kila siku kwenda shuleni, mambo kibao ya mtaani wakiwa nyumbani, n.k. ni tofauti na wenzao asubuhi mpaka usiku ni kusoma tu
Hakika aiseee
 
Tofauti kubwa iliyopo ni
1. Uchache wa wanafunzi
2. Wanafunz wengi wa Iliboru ni smart, mengine yanazungumzika.
Kuna sababu nyingi zaidi ila hiyo ya uchache wa wanafunzi huoni inatosha kabisa kuitofautisha Ilboru na shule nyingine yoyote ya Kayumba? Pale Ilboru kwenye chumba kimoja cha darasa mlikuwa mnarundikwa watoto zaidi ya 100?
 
Kuna sababu nyingi zaidi ila hiyo ya uchache wa wanafunzi huoni inatosha kabisa kuitofautisha Ilboru na shule nyingine yoyote ya Kayumba? Pale Ilboru kwenye chumba kimoja cha darasa mlikuwa mnarundikwa watoto zaidi ya 100?
Nimekwambia mengine yanazungumzika, wewe ulisema kuna mazingira mazuri kuzid shule za private kitu ambacho ni uongo.
 
N:B: Kwa namna yoyote ile sisifii watoto wasome shule za kata.shule hizi bado zina changamoto nyingi sana, ukiwa na uwezo peleka mtoto private hata akifeli awe kasoma kwenye mazingira mazuri.

Mtu aliyesoma kwenye mazingira duni na bado akawa zaidi, sawa au kuwakaribia hawa waliosoma kwenye mazingira wezeshi na yenye kila nyenzo zinazohitajika kupata elimu bora, haina mjadala mtu huyo ana uwezo mkubwa sana wa kiakili

Hawasimamiwi wala kulazimishwa kusoma kama wenzao wanaosimamiwa kuanzia saa 11 alfajri hadi usiku, wana uwezo wa kuji manage wenyewe, kuanzia ratiba, kuhandle presha, kuji motivate, n.k.

Wana msaada kidogo kutoka kwa walimu wanaofika mara chache madarasani, vitabu vichache, n.k. kwa asilimia kubwa hujisomea kivyao ila wana IQ kubwa sana ya kujindisha kwa materials chache. unaweza kumpa notes chache akamzidi yule aliesoma vitabu vitano

Wana IQ kubwa ya kutatua maswali mapya, ni tofauti na wenzao wanataftiwa maswali kibao ya kusolve na walimu wao hasa pastpapers, swali moja linarudiwa mara nyingi kwenye vipindi, solvings za alfajiri, test za kila wiki, kila mwezi, mitihani yamuhula, n.k. mitihani ya taifa ikija hakuna maswali mapya, wanatiririka tu.

Hawa watu ni multi purpose, Wana IQ kubwa ya kufanya mambo mengi kwa wakati moja, Nje ya kusoma wanafanya shughuli kadhaa za kuongeza kipato cha familia kama kulima, wanajipikia, wanatembea kila siku kwenda shuleni, mambo kibao ya mtaani wakiwa nyumbani, n.k. ni tofauti na wenzao asubuhi mpaka usiku ni kusoma tu
kufaulu shule haimaanishi una IQ kubwa😂 tafuta kujua maana ya IQ na jinsi inavyopimwa🤪
 
N:B: shule za kata nyingi bado zina changamoto kibao, ukiwa na uwezo peleka mtoto shule nzuri umpunguzie changamoto zinazoingilia elimu yake.

Mtu aliyesoma kwenye mazingira duni na bado akawa zaidi, sawa au kuwakaribia hawa waliosoma kwenye mazingira wezeshi na yenye kila nyenzo zinazohitajika kupata elimu bora, haina mjadala mtu huyo ana uwezo mkubwa sana wa kiakili, ni sawa na darasani kuna watu uwezo unaishia table ya 12 lakini kuna watu wana upeo binafsi wanatiririka hadi table ya 50.

Hawasimamiwi wala kulazimishwa kusoma kama wenzao wanaosimamiwa kuanzia saa 11 alfajri hadi usiku, wana uwezo wa kuji manage wenyewe, kuanzia ratiba, kuhandle presha, kuji motivate, n.k.

Wana msaada kidogo kutoka kwa walimu wanaofika mara chache madarasani, vitabu vichache, n.k. kwa asilimia kubwa hujisomea kivyao ila wana IQ kubwa sana ya kujindisha kwa materials chache. unaweza kumpa notes chache akamzidi yule aliesoma vitabu vitano

Wana IQ kubwa ya kutatua maswali mapya, ni tofauti na wenzao wanataftiwa maswali kibao ya kusolve na walimu wao hasa pastpapers, swali moja linarudiwa mara nyingi kwenye vipindi, solvings za alfajiri, test za kila wiki, kila mwezi, mitihani yamuhula, n.k. mitihani ya taifa ikija hakuna maswali mapya, wanatiririka tu.

Hawa watu ni multi purpose, Wana IQ kubwa ya kufanya mambo mengi kwa wakati moja, Nje ya kusoma wanafanya shughuli kadhaa za kuongeza kipato cha familia kama kulima, wanajipikia, wanatembea kila siku kwenda shuleni, mambo kibao ya mtaani wakiwa nyumbani, n.k. ni tofauti na wenzao asubuhi mpaka usiku ni kusoma tu
Nakubaliana na wewe
 
Mtu aliyeongoza kitaifa Kwenye mtihani wa Physics A-level mwaka 2013 elimu yake ya O-level alisoma Government school nafikiri kitu kama Sengerema au huko Kilimanjaro.

Sasa Kwa hii mantiki yako unamaanisha huyo jamaa aliwapiku hadi wanafunzi waliosoma Feza,St.marians,St.Francis Kwa uwezo wake mkubwa wa kukariri na sio kuelewa SI ndio? Tena kwenye somo linalohitaji kuumiza akili kama Physics???

Una assumptions za kipuuzi sana. Na inaonekana umezoea spoon-feeding kwenye kila jambo
Kwanini akifaulu wa kayumba anakuwa kakariri ila anapofaulu wa em ionekane anauwezo na hajakariri ? Sio fair kwamba kayumba hawafindishwi au
 
Back
Top Bottom