Wanahabari wa Michezo wawahoji wapinga mabadiliko Yanga kama walivyokuwa wakifanya kwa Simba SC

Wanahabari wa Michezo wawahoji wapinga mabadiliko Yanga kama walivyokuwa wakifanya kwa Simba SC

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Habari Tanzania!

Wakati Klabu ya Simba inakwenda kufanya mabadiliko ya Kiwendeshaji wa Klabu kulikuwa na tafarani nyingi sana za kukatisha tamaa kutoka baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo na Watangazaji pamoja na Wachambuzi, kama haitoshi walikwenda mbali zaidi kudai Uwekezaji haifai na MO anataka kumiliki Simba kwa manufaa yake.

Lakini Wanasimba waliamini kile ambacho wanakifanya na wakajikita kwenye ule msemo kuwa Mchonga Njia Siku Zote Huonekana wa Kushangaza Ila Wapitao Hupewa Hongera.

Lakini cha kushangaza wale Waandishi walikuwa wakiponda Uwekezaji upande wa Simba SC ndo hao hao wanapongeza Uwekezaji upande wa Yanga na kusifia kama vile ni jambo jipya Tanzania ilhali mchakato ni ule kama wa Simba SC 49/51.

Wale Waandishi wa Michezo walikuwa wakiongoza kundi la kuwahoji Wapinga mabadiliko Simba na kumpa muda zaidi Mzee Kilomoni na kumsifia kuwa yupo sahihi, tuwaone tena upande wa Yanga wakifuatwa na kuwahoji wapinga mabadiliko hasa wale Wazee walikuwa na Press Conference makao makuu.

Katika picha mstari wa mwisho hapo, Mzee licha ya kuhudhuria Mkutano lakini hakuthubutu kamwe kunyosha mkono wake kuunga mkono mabadiliko, amepewe muda tusikie maoni yao akiwakilisha Wazee wenzake.

Haiwezekani jambo liungwe mkono asilimia [emoji817] hata kama ni lenye kuleta mafanikio. Hongera sana Simba SC kwa kuwa mfano wa kuigwa kuelekea kwenye mafanikio ya soka Tanzania.

Screenshot_20210629-082558.jpg
 
Unataka kusemaje sasa? Kwani waandishi ndiyo waliandaa hayo mabadiliko? Kamalizane na FCC kwanza Acha kulialia.
 
Unataka kusemaje sasa? Kwani waandishi ndiyo waliandaa hayo mabadiliko? Kamalizane na FCC kwanza Acha kulialia
Kwani hujasoma ambayo nimeandika (nimesema) kwa Waandishi hapo?
 
Mabadiliko yanayoenda kufanywa na Yanga sio ya kufananishwa na yenu,na waandishi si wajinga, kukiwa na sintofahamu watahoji tu, manji alipotaka kukodisha walimpinga, serikali inataka wadhamini kuanzia 3, na klabu inataja pesa ya uwekezaji kutokana na thamani ya kabu,mo hiyo bln 20 kasema tu mwenyewe kitu amabacho akitakiwi na hataki mwekezaji mwingine.
 
Mzee yeyote ataejaribu kutukwamisha sii yanga tunalala nae mbele, haiwezekani team imekua ivo ilivo kwa ujinga wao wenyewe halafu bado wanataka kuendeleza ujinga wao. Tushaumia sana imetosha na Siku zote kwenye mabadiliko yoyote lazima kuna wachache wataumia ili wengi wafaidike.
 
Bwanyenye wa Simba alikua anafanya Mambo kihuni ndio maana yame kwama.
Anayecopy siku zote anakuwa makini mno kuliko mtangulizi wake.

Hata hivyo usidhani Yanga atafanikiwa haraka kuliko Simba SC.
 
Habari Tanzania!

Wakati Klabu ya Simba inakwenda kufanya mabadiliko ya Kiwendeshaji wa Klabu kulikuwa na tafarani nyingi sana za kukatisha tamaa kutoka baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo na Watangazaji pamoja na Wachambuzi, kama haitoshi walikwenda mbali zaidi kudai Uwekezaji haifai na MO anataka kumiliki Simba kwa manufaa yake.

Lakini Wanasimba waliamini kile ambacho wanakifanya na wakajikita kwenye ule msemo kuwa Mchonga Njia Siku Zote Huonekana wa Kushangaza Ila Wapitao Hupewa Hongera.

Lakini cha kushangaza wale Waandishi walikuwa wakiponda Uwekezaji upande wa Simba SC ndo hao hao wanapongeza Uwekezaji upande wa Yanga na kusifia kama vile ni jambo jipya Tanzania ilhali mchakato ni ule kama wa Simba SC 49/51.

Wale Waandishi wa Michezo walikuwa wakiongoza kundi la kuwahoji Wapinga mabadiliko Simba na kumpa muda zaidi Mzee Kilomoni na kumsifia kuwa yupo sahihi, tuwaone tena upande wa Yanga wakifuatwa na kuwahoji wapinga mabadiliko hasa wale Wazee walikuwa na Press Conference makao makuu.

Katika picha mstari wa mwisho hapo, Mzee licha ya kuhudhuria Mkutano lakini hakuthubutu kamwe kunyosha mkono wake kuunga mkono mabadiliko, amepewe muda tusikie maoni yao akiwakilisha Wazee wenzake.

Haiwezekani jambo liungwe mkono asilimia [emoji817] hata kama ni lenye kuleta mafanikio. Hongera sana Simba SC kwa kuwa mfano wa kuigwa kuelekea kwenye mafanikio ya soka Tanzania.

View attachment 1834292
upigaji kura wa namna hiyo kwa jambo nyeti umepitwa na wakati na pia ni wa kuficha madhaifu na kuogopesha watu wengine
 
Mabadiliko yanayoenda kufanywa na Yanga sio ya kufananishwa na yenu,na waandishi si wajinga, kukiwa na sintofahamu watahoji tu, manji alipotaka kukodisha walimpinga, serikali inataka wadhamini kuanzia 3, na klabu inataja pesa ya uwekezaji kutokana na thamani ya kabu,mo hiyo bln 20 kasema tu mwenyewe kitu amabacho akitakiwi na hataki mwekezaji mwingine.
hakuna tofauti walichofanya yanga zaidi ya kucopy na kupaste toka Simba, hata ya wadhamini watatu ni sheria iliyopitishwa na wizara kupitia msajili ndio maana FCC wakawa wanahoji.
Yanga waliposema wamemwajili Senzo na wanashirikia na laliga nilitegemea wanakuja na kitu kipya kumbe ni porojo afadhali wangekuja Simba wakawauliza tu namna walivyofanya mabadiliko kuliko usanii wanaotumia.
 
hakuna tofauti walichofanya yanga zaidi ya kucopy na kupaste toka Simba, hata ya wadhamini watatu ni sheria iliyopitishwa na wizara kupitia msajili ndio maana FCC wakawa wanahoji.
Yanga waliposema wamemwajili Senzo na wanashirikia na laliga nilitegemea wanakuja na kitu kipya kumbe ni porojo afadhali wangekuja Simba wakawauliza tu namna walivyofanya mabadiliko kuliko usanii wanaotumia.
Porojo kivipi mkuu?
 
hakuna tofauti walichofanya yanga zaidi ya kucopy na kupaste toka Simba, hata ya wadhamini watatu ni sheria iliyopitishwa na wizara kupitia msajili ndio maana FCC wakawa wanahoji.
Yanga waliposema wamemwajili Senzo na wanashirikia na laliga nilitegemea wanakuja na kitu kipya kumbe ni porojo afadhali wangekuja Simba wakawauliza tu namna walivyofanya mabadiliko kuliko usanii wanaotumia.
Simba imefanya lini mabadiliko?
 
Kama nyinyi munavyohaha kule FCC kuhakikisha mabadiliko ya Simba yanaendelea kukwama.
Hatuna muda huo,fcc mo anajikwamisha mwenyewe,kuna watu kibao wanataka kuwekeza hapo mkiani ila yeye anataka zile sifa za kidosi za bila yeye,Yanga tushajifunza kwa manji atutaki tena ujinga ule wa mtu akiondoka mnacolapse,tushatembeza mpaka bakuli sisi
 
Unataka kusemaje sasa? Kwani waandishi ndiyo waliandaa hayo mabadiliko? Kamalizane na FCC kwanza Acha kulialia.

😂 😂

Bongo Nyoso Aisee! Yaani anategemea waandishi wa habari wawe na maamuzi katika eneo ambalo hawatakiwi kabisa kuwa na maamuzi.

Alafu huko FCC wana maanga kibao, mashabiki wengi wa timu yao hawalifahamu hilo.
 
Back
Top Bottom