Wanahabari wetu ni dhaifu sana

Wanahabari wetu ni dhaifu sana

Inawezekana mitaala yetu nchi nzima ni mibovu hivyo inatoa wanafunzi, walimu na wahitimu wabovu pia kwenye kila fani, lakini wahitimu kwenye journalism ni wabovu zaidi,

Zamani waandishi habari walikuwa mahiri sana kiasi Cha kuunda mhimili 4 baada ya serikali, bunge na mahakama.

Mwisho wa wanahabari kuwa mhili wa 4 ilikuwa wakati wa akina Jenelali ulimwwngu, Bagenda, hamza kasongo, tido mhando, na wengine.

Leo hii kila mwandishi wa habari anatetemeka wakati anaamdika au kusoma habari. Wamejawa na woga, wanajiposition ili kupata uteuzi
Nyambafuuu achana na Mambo ya uandishi komaa na kazi yako..hujui tunakutana na Nini huko kwenye utafutaj habar wetu..tumefikishwa hapa na mazingira yanayotuunguka Kama ambavyo hao kina ulimwengu walivyokuzwa na mazingira..sote tunaakil Ila mazingira ya kazi ni tofaut
 
Lakini tusiwalaumu,Dola imechangia sana anguko lao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida sio dola bali wanahabari wenyewe, dola inafanya hivyo kutafuta nafuu, hakuna mtu anaependa challenge. Waandishi habari hawaachi kufanya kazi Yao hata kwenye tawala kakamavu na korofi kama za makaburu, Iraq, Syria, Afghanistan, Iran, Venezuela, Marekani, England, nk, wanatekeleza majukumu Yao hata kwenye vita na sehemu hatarishi kabisa. Watawala wanatikisa mikia kama wakiona nchi Ina waandishi waoga kama wetu, wanarelax bila hofu.

Haki haitolewi bali inachukuliwa.
 
Nyambafuuu achana na Mambo ya uandishi komaa na kazi yako..hujui tunakutana na Nini huko kwenye utafutaj habar wetu..tumefikishwa hapa na mazingira yanayotuunguka Kama ambavyo hao kina ulimwengu walivyokuzwa na mazingira..sote tunaakil Ila mazingira ya kazi ni tofaut
Sio kweli bhana, huo ni woga TU, akina ulimwwngu walichanyang'aganywaga hata uraia lakini hadi Leo bado wanasimamia kanuni za uandishi wao bila woga. Utaua wangapi?
 
Nyambafuuu achana na Mambo ya uandishi komaa na kazi yako..hujui tunakutana na Nini huko kwenye utafutaj habar wetu..tumefikishwa hapa na mazingira yanayotuunguka Kama ambavyo hao kina ulimwengu walivyokuzwa na mazingira..sote tunaakil Ila mazingira ya kazi ni tofaut
Ukweli unashangaza zaidi kuliko uongo.
 
Unafungulia redio station kumsikiliza dida, sijui Dr sumbuka, yaani kichefuchefu kitupu
 
Inawezekana mitaala yetu nchi nzima ni mibovu hivyo inatoa wanafunzi, walimu na wahitimu wabovu pia kwenye kila fani, lakini wahitimu kwenye journalism ni wabovu zaidi,

Zamani waandishi habari walikuwa mahiri sana kiasi Cha kuunda mhimili 4 baada ya serikali, bunge na mahakama.

Mwisho wa wanahabari kuwa mhimili wa 4 ilikuwa wakati wa akina Jenelali ulimwwngu, Bagenda, hamza kasongo, tido mhando, na wengine.

Leo hii kila mwandishi wa habari anatetemeka wakati anaamdika au kusoma habari. Wamejawa na woga, wanajiposition ili kupata uteuzi, hii ni hatari sana kwa taifa na dunia. Watu hawataujua ukweli wote kwa namna hii. Utajua kila mwanasiasa anachotaka ukifahamu. Wanasiasa Sasa wanatulazimisha blue tuseme ni nyeusi tunataka au hatutaki. Wanahabari wetu are cowards terribly to say and write what they want to write, real cowards. They can not write about what they believe it is true them, nation and to the world, instead they have decided to join the politicians. They can not fight them now they join them squarely.
Hakuna mwanahabari Tanzania, ni form 4 and 76 fasilures wanatafuta kuganga njaa. Hakuna Mwandishi wa habari, ni vurugu tupu! (ukiwaondoa akina Jeneralli et al) wengine ni tupa kule
 
Kuna jamaa aliwaonga mhandishi wa habari siku moja kumchafua mkuu wa idara fulani kwa kumchafua na kumzushia mambo ya uongo. Baadaye yule mwandishi aliitwa ili akaonyeshe hayo aliyoandika na ilikuwa ni aibu tu. Tangu siku hiyo ninakuwa mvivu sana kusoma magazeti kwa ajili ya mambo wanayoandika ni kwa ajili tu ya kuuza gazeti lakini habari nyingi hazina ukweli.
 
Back
Top Bottom