Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe unatoa 071Kuna tatizo wapi?WeKin
Kinega tu weweStruggle za nini ikiwa yote unayotaka unapewa?
Naona wanafanya biashara, pengine wasipokosoa hawapati kituDawa yao nao wangepewa teuzi tuone wakatavyofanya
Ova
U'r stupidKwani wewe unatoa 071
Ebu fungukaU'r stupid
Hiyo ndio point! Watanzania tustukeeee!! Hawa wana malengo yao ovu kabisa.Mzee kufa kufaana,kukosea kwa Magufuli ndo kulikua fursa kubwa kwao...hivyo kupatia kwa mama kutawapoteza elewa hivyo.
Yes. Yaani wao wanataka mama afuate Kila wanachosema wao, akisema mtumbue huyu Basi mama afanye hivyohivyo. Na wanahisi Kama Samia akifanya vyote Basi wao watapoteza title zao, so wamebaki kumlaumu tu kwa Kila kitu.Mzee kufa kufaana,kukosea kwa Magufuli ndo kulikua fursa kubwa kwao...hivyo kupatia kwa mama kutawapoteza elewa hivyo.
Wanafanya biasharaHiyo ndio point! Watanzania tustukeeee!! Hawa wana malengo yao ovu kabisa.
Hilo ndilo nalooona, kuwa huenda Kuna kitu watakikosa ikiwa Samia akiendelea vizuriYes. Yaani wao wanataka mama afuate Kila wanachosema wao, akisema mtumbue huyu Basi mama afanye hivyohivyo. Na wanahisi Kama Samia akifanya vyote Basi wao watapoteza title zao, so wamebaki kumlaumu tu kwa Kila kitu.
Wanasema vya uongo Sasa, mama samia kaanza vizuri Ila wao wanalazimisha kuonekana vibayaMkuu waache waendelee kusema..
Huo mfuko unachojua ni kuchukua tu pesa za watu.,kurudisha hawajui.PSSSF ipo hoi lkn kipind cha mwendazake ukiwaambia mfuko hoi utaitwa beberu sasa Mama leo kasema.